Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshindwa kumuelewa. Alishindwa kuwa na Dada wa kazi mwenye kueleweka.Inaonekana mwanamke huyo katiri sana, hana hata beki 3? Alikuwa anaishi kigumu mno.
DuhMtoto wa mfanyabiashara maarufu jijini Dodoma anayejulikana kwa jina la Jojo, Graison Kanyenye (6), anadaiwa kuuawa kwa kupigwa na kitu kizito kichwani wakati mama yake akiwa matembezini usiku wa kuamkia jana.
View attachment 3185386
Mbali na hilo, Jeshi la Polisi limesema mwili wa mtoto huyo ulikutwa ndani ya nyumba ukiwa na majeraha shingoni.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, George Katabazi amesema jana, Desemba 25, 2024 kuwa tukio litokea saa 1.00 asubuhi katika Mtaa wa Bwawani, Ilazo Extension jijini Dodoma, nyumbani kwa Ofisa Uvuvi wa Mtera, Hamis Mohamed.
Amesema Hamis (anatajwa kuwa mpenzi wa mfanyabiashara huyo) na mama yake walitoka kwenda matembezini na kumwacha mtoto huyo chini ya usimamizi wa dereva bodaboda wa Ilazo Extension, Kelvin Gilbert.
Bodaboda huyo anayetajwa kuwa walimfahamu kupitia huduma ya usafiri wanayoitoa kwa familia, aliachiwa mtoto ili amwangalie kipindi ambacho watakuwa kwenye matembezi wawili hao (Hamis na mfanyabiashara huyo).
View attachment 3185379
YaaniKwahy single mother akamuachia bodaboda ambabesit mwanae, yeye kaenda matembezi.
Hakuogopa hata ishu za ulawiti.
Angelia asije kukufua na wewe….Kumbe bodaboda Wana mishe nyingi hapa mjini eeh
Ngoja nimuite boda wangu aje kufua hapa na kudeki
Boda boda hajaelezwa yuko wapi.Mtoto wa mfanyabiashara maarufu jijini Dodoma anayejulikana kwa jina la Jojo, Graison Kanyenye (6), anadaiwa kuuawa kwa kupigwa na kitu kizito kichwani wakati mama yake akiwa matembezini usiku wa kuamkia jana.
View attachment 3185386
Mbali na hilo, Jeshi la Polisi limesema mwili wa mtoto huyo ulikutwa ndani ya nyumba ukiwa na majeraha shingoni.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, George Katabazi amesema jana, Desemba 25, 2024 kuwa tukio litokea saa 1.00 asubuhi katika Mtaa wa Bwawani, Ilazo Extension jijini Dodoma, nyumbani kwa Ofisa Uvuvi wa Mtera, Hamis Mohamed.
Amesema Hamis (anatajwa kuwa mpenzi wa mfanyabiashara huyo) na mama yake walitoka kwenda matembezini na kumwacha mtoto huyo chini ya usimamizi wa dereva bodaboda wa Ilazo Extension, Kelvin Gilbert.
Bodaboda huyo anayetajwa kuwa walimfahamu kupitia huduma ya usafiri wanayoitoa kwa familia, aliachiwa mtoto ili amwangalie kipindi ambacho watakuwa kwenye matembezi wawili hao (Hamis na mfanyabiashara huyo).
View attachment 3185379
Nalaumu Wazazi wapumbavu.Walaumu waliomuua
Na ndio maana hakuna kama mtoto ana thamani kwake maana yeye ana duka la Jumla.Eti mfanyabiashara maarufu. Singo maza muuza uchi uyo akasaidie jeshi.
Tz inaelekea njia ya Africa Kusini??Nalaumu Wazazi wapumbavu.
Zama hizi zilizoshamiri Ukatili Kwa Watoto unamuachia boda? Una akili timamu?
Kazingua sana aisee. Sikukuu ni muda mzuri wa kutoka na madogo yeye anatoka na awala wake.Na ndio maana hakuna kama mtoto ana thamani kwake maana yeye ana duka la Jumla.
Wanaume muwe mnaangalia na watu wa kuzaa nao.
Imefika wapi saiv Tz kwenye hiyo njia ya SA,Juzi niliiacha Tunduma.Tz inaelekea njia ya Africa Kusini??