Dodoma: Mwanafunzi ashikiliwa na Jeshi la Polisi baada ya kupiga na kutuma picha za ukosefu wa maji Chuo Kikuu Dodoma

Utawala huu wa kishetani sana unatia kinyaa watu tunaishi kama watumwa kwenye ardhi yetu kisa kuna li mtu limoja halipendi kuambiwa kuwa kuna sehemu limekosea.
Mambo ya ajabu sana kwahiyo wakimshika ndio maji yatatoka au inakuaje, uhuru wa kutoa maoni uko wapi?


Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongereni sana kwa kazi yenu japokuwa kuna jamaa mmoja hawapendi hata kuwasikia kwa sababu matendo yake yapo against nanyi.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dahhh! Naona Una funza tu kichwani... Kweli Binadamu tupo tofauti... Watu Wanafiki kama Wewe walikuwepo hata Enzi ya Ukoloni.
 
Mkuu GIZA ni GIZA, NURU ni NURU. ......... Sbb zozote za kubadilisha hali hizi ni Ulemavu wa akili.
 
Taarifa rasmi zinatakiwa kutolewa na vyuo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini unatambua wazi uongozi wa chuo mara nyingi huwa wanajua usumbufu unakuwa serikalini hadi kupata solutions za matatizo yanayowakumba huwa ni mzito mno kiasi cha kuwaachia wanafunzi wataabike hadi anapotokea kijana kama huyo kutetea wanafunzi wenzake ndipo solutions zipatikane kwa sacrifice.
 
You


Cheap wasted sperm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WEWE NI **** KABISA KISA BABA YAKO ANAMDUNDA MAMA YAKO UNAONA AIBU KUSHIRIKISHA JAMII MAMA YAKO APATIWE MSAADA?
HIVI UNAJUA MWANAFUNZI ANAPOKUWA SHULENI SHIDA ANAYOIPATA?
AU NDIO MWENYE ELIMU ZA DARASA LA TATU MKOLONI NA MPATA PESA KWA KUWAULIWA WATU GIZANI NA MNAJISAFISHA KWA MALUNDO YA SADAKA KATIKA NYUMBA ZA IBADA?
SIO LAZIMA KUTOA MAONI KWA KILA UNACHOKIONA KAMA HAUJAELEWA
.

Sikia ukiona hatua hiyo imefikiwa ni ishara wazi tayari uongozi wa chuo umefeli kuweza kutatua shida iliyopo, kwa namna nyingi kafanya jambo jema kuipa serikali taarifa ili wanafunzi waweze kupatiwa msaada wa haraka ama kutambua madudu yyanayoendelea chuoni hapo

sasa kisheria hakuna kosa kabisa labda abambikiwe kuhujumu uchumi maana ndio lililobakia kwa sasa,
Laiti angekuwa mdogo wako nadhani ungeelewa uhalisia wa mambo jinsi ulivyo,
Ndio maana hadi sasa kuna maovu mengi sana yanaendelea nchini lakini wananchi wanaogopa kabisa kufanya ushirikiano na serikali sababu tayari unakuwa hatalini kama hizo taarifa zinaweza kuigusa serikali ama watu walioko serikalini moja kwa moja.

Jifunze kwanza kuweka ubinaadamu mbele kabla ya akili zako hazijafanya kazi kama machicha ya kimpumu,

Siku zote unaambiwa "ukiwa mtembea kwa miguu barabarani zingatia kwanza usalama wako kisha sheria ya usalama uifuate"

Sasa endelea kung'ang'ana na zebra wakati gari zishatungua huko speed 120km/h
 
Nilijua tu kuna kilaza mmoja ataibuka kufanya mwanafunzi aonekane alikosea,pumbaf sana we jamaa kuishia kwako la tano B kusikufanye uwe na chuki na waliofika.
 

Kwahiyo we ukibakwa utamwambia huyo huyo aliekubaka badala ya kwenda polisi,ukileta mifano ya kipumbavu na wewe huna budi kutolewa mifano ya kipumbavu kwasababu ya upumbavu wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…