"Mzazi wako, alilewa mpaka akajikojolea"
Wewe mtoto unatangaza kwa majirani! Unapata faida Gani? Badala ya kuwajurisha babu na bibi yako, wewe unawaambia majirani?
Sasa anaonesha shida ya maji kwa dunia nzima anategemea dunia itakuja kutatua hii shida,?kwanini hakutuma hizo picha wizarani, kwa mbunge au waziri?
Sent using
Jamii Forums mobile app
WEWE NI **** KABISA KISA BABA YAKO ANAMDUNDA MAMA YAKO UNAONA AIBU KUSHIRIKISHA JAMII MAMA YAKO APATIWE MSAADA?
HIVI UNAJUA MWANAFUNZI ANAPOKUWA SHULENI SHIDA ANAYOIPATA?
AU NDIO MWENYE ELIMU ZA DARASA LA TATU MKOLONI NA MPATA PESA KWA KUWAULIWA WATU GIZANI NA MNAJISAFISHA KWA MALUNDO YA SADAKA KATIKA NYUMBA ZA IBADA?
SIO LAZIMA KUTOA MAONI KWA KILA UNACHOKIONA KAMA HAUJAELEWA
.
Sikia ukiona hatua hiyo imefikiwa ni ishara wazi tayari uongozi wa chuo umefeli kuweza kutatua shida iliyopo, kwa namna nyingi kafanya jambo jema kuipa serikali taarifa ili wanafunzi waweze kupatiwa msaada wa haraka ama kutambua madudu yyanayoendelea chuoni hapo
sasa kisheria hakuna kosa kabisa labda abambikiwe kuhujumu uchumi maana ndio lililobakia kwa sasa,
Laiti angekuwa mdogo wako nadhani ungeelewa uhalisia wa mambo jinsi ulivyo,
Ndio maana hadi sasa kuna maovu mengi sana yanaendelea nchini lakini wananchi wanaogopa kabisa kufanya ushirikiano na serikali sababu tayari unakuwa hatalini kama hizo taarifa zinaweza kuigusa serikali ama watu walioko serikalini moja kwa moja.
Jifunze kwanza kuweka ubinaadamu mbele kabla ya akili zako hazijafanya kazi kama machicha ya kimpumu,
Siku zote unaambiwa "ukiwa mtembea kwa miguu barabarani zingatia kwanza usalama wako kisha sheria ya usalama uifuate"
Sasa endelea kung'ang'ana na zebra wakati gari zishatungua huko speed 120km/h