Vituo vingi ndicho kilichofanyikaCcm hawapo tayari kwa uchaguz huru yaan nimefika kituoni saa 3 nakuta masanduku ya kura yamejaa mpaka nafanya kukandamiza kuingiza kura hizo kura sijui zimepigwa saa ngapi ccm ni majiz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vituo vingi ndicho kilichofanyikaCcm hawapo tayari kwa uchaguz huru yaan nimefika kituoni saa 3 nakuta masanduku ya kura yamejaa mpaka nafanya kukandamiza kuingiza kura hizo kura sijui zimepigwa saa ngapi ccm ni majiz
Area D wanakaa wakubwa wa jembe na nyundo hukoWakuu,
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Baada ya kutoridhika na majibu ya wasimamizi wa kituo Cha kupigia kura Site One Bi Aisha Madoga akaamua kuondoka na daftari la kupigia kura ndipo vurugu zikaongezeka katika eneo hilo la Site One Area D Mkoano Dodoma.
Mkuu CCM isikupe kibri sana kwa sababu kushiba Leo !!Unatengeza laana baadaye !Kukosesha haki ya mtu yeyote kwa namna yoyote italipwa baadaye.Huyo mtu akapimwe akili!
Madaraka ni matamu ndugu, hasa kwa wale wasio na ndoto za kuwa sehemu fulani kutokana na kutokuwa na uwezo.Mama Samia alianza vizuri sijui nini kimempata kaharibu kitu pekee kilichompa heshima Tanzania.
Kampime mamako Kwanza Kisha kampime mamayenu wa kizmkaziHuyo mtu akapimwe akili!
Mchengerwa wewe ni muislamu na kumbuka kuna aina 7 la daraja la moto mbinguni kuwa na hofu na mungu mkuu maisha mafupi haya acha kaburiWakuu,
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Baada ya kutoridhika na majibu ya wasimamizi wa kituo Cha kupigia kura Site One Bi Aisha Madoga akaamua kuondoka na daftari la kupigia kura ndipo vurugu zikaongezeka katika eneo hilo la Site One Area D Mkoano Dodoma.
Ebu sogea kwenye ignore list kwanzani muhimu sana akachukuliwa hatua kali zaidi kwa virungu vya kutosha,
kabla ya kuswekwa korokoroni kwa mapumziko kidogo na kisha kushtakiwa mahakamani kwa kuvuruga na kuhujumu kwa makusudi zoezi tulivu sana la kitaifa, la uchaguzi wa Serikali za mitaa.
hatuwezi kuvumilia ulevi wa ain hiyo hata kidogo 🐒
Leo wamenywakwa kisawa sawa hadi askari akashindwa cha kufanyaArea D wanakaa wakubwa wa jembe na nyundo huko
🚮🚮🚮ni muhimu sana akachukuliwa hatua kali zaidi kwa virungu vya kutosha,
kabla ya kuswekwa korokoroni kwa mapumziko kidogo na kisha kushtakiwa mahakamani kwa kuvuruga na kuhujumu kwa makusudi zoezi tulivu sana la kitaifa, la uchaguzi wa Serikali za mitaa.
hatuwezi kuvumilia ulevi wa ain hiyo hata kidogo 🐒
Huyu dada anajielewa, anatambia haki na wajibu wake na ana utayari wa kulipigania taifa lake.Wakuu,
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Baada ya kutoridhika na majibu ya wasimamizi wa kituo Cha kupigia kura Site One Bi Aisha Madoga akaamua kuondoka na daftari la kupigia kura ndipo vurugu zikaongezeka katika eneo hilo la Site One Area D Mkoano Dodoma.
Halafu unakuta wasimamizi ni walimu. Kwenye nchi hii walimu wamelaaniwa. Ndiyo maana wanashiriki kusaidia upumbavu kama huu.Wakuu,
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Baada ya kutoridhika na majibu ya wasimamizi wa kituo Cha kupigia kura Site One Bi Aisha Madoga akaamua kuondoka na daftari la kupigia kura ndipo vurugu zikaongezeka katika eneo hilo la Site One Area D Mkoano Dodoma.
Sàsa Chadema wanakimbia na daftari la orodha ya wapiga kura, ungepigaje?Ndio maana sijaona umuhimu wa kupiga kura
CHADEMA wamejitakia yote hayo. Ngoja wazichape. Pengine kura zao zikafikia idadi!Wakuu,
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Baada ya kutoridhika na majibu ya wasimamizi wa kituo Cha kupigia kura Site One Bi Aisha Madoga akaamua kuondoka na daftari la kupigia kura ndipo vurugu zikaongezeka katika eneo hilo la Site One Area D Mkoano Dodoma.