Alfan issa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,281
- 893
Kabisa mkuu maana sio kwa mkwara huo! Uenyekiti tu unamtoa kijasho chembamba huyu sheria ichukue mkondo wake ili wengine wajifunze maana ataambukizani muhimu sana akachukuliwa hatua kali zaidi kwa virungu vya kutosha,
kabla ya kuswekwa korokoroni kwa mapumziko kidogo na kisha kushtakiwa mahakamani kwa kuvuruga na kuhujumu kwa makusudi zoezi tulivu sana la kitaifa, la uchaguzi wa Serikali za mitaa.
hatuwezi kuvumilia ulevi wa ain hiyo hata kidogo π
Wenzako wanakuja na picha na video clip wewe unakuja na maneno matupu?Habari za wakati huu,
Mwenyekiti wa chadema mkoa wa dodoma ameenda na watu ambao hawajaanfikishwa katika daftari la wapiga kura ili kufanya udanganyifu
Nashauri hao watu pamoja na mwenyekiti wachukuliwe hatua za kisheria kwasababu wameenda kufanya udanganyifu ilihali wanajua walitendalo ni kosa kisheria
IG account ya jf wamekuwekea video nenda utazame mkuuWenzako wanakuja na picha na video clip wewe unakuja na maneno matupu?
Wenzako wanakuja na picha na video clip wewe unakuja na maneno matupu?
Tunapofunga vituo vya kupiga kura kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Taifa limeendelea kushuhudia tena ubaradhuli wa wazi na wa aibu toka kwa mamlaka zote za Serikali kushirikiana kuipatia CCM na wagombea wake ushindi wa aibu hata kwa gharama za maisha ya Watanzania.Habari za wakati huu,
Mwenyekiti wa chadema mkoa wa dodoma ameenda na watu ambao hawajaanfikishwa katika daftari la wapiga kura ili kufanya udanganyifu
Nashauri hao watu pamoja na mwenyekiti wachukuliwe hatua za kisheria kwasababu wameenda kufanya udanganyifu ilihali wanajua walitendalo ni kosa kisheria
Mpumbavu kama mama yako aliyekuzaa kiharamuHabari za wakati huu,
Mwenyekiti wa chadema mkoa wa dodoma ameenda na watu ambao hawajaanfikishwa katika daftari la wapiga kura ili kufanya udanganyifu
Nashauri hao watu pamoja na mwenyekiti wachukuliwe hatua za kisheria kwasababu wameenda kufanya udanganyifu ilihali wanajua walitendalo ni kosa kisheria
Wewe nawe unafikiria kwa kutumia njia ya kinyume na maumbile ya ubongo. Soma tena uone ni nini kilitokea.Habari za wakati huu,
Mwenyekiti wa chadema mkoa wa dodoma ameenda na watu ambao hawajaanfikishwa katika daftari la wapiga kura ili kufanya udanganyifu
Nashauri hao watu pamoja na mwenyekiti wachukuliwe hatua za kisheria kwasababu wameenda kufanya udanganyifu ilihali wanajua walitendalo ni kosa kisheria
Ndilo lengo lake hilo, hapo anatafuta tu attention, angeonekana wa maana sana kama angekusanya ushahidi na kuchukuwa hatua stahiki na sio hivyo alivyofanya, hiyo ni jinai na inatakiwa achukuliwe hatua.Huyu Mama ni Mwamba!
Nadhani baada ya Uchaguzi 2025 afikiriwe kuwa Mbunge wa Viti maalumu Chadema!
Pita uwani kuna gongo ukapuliwe chakula cha watu!Ngoja nikachungulie kinem... cha mamako!
Piga hivyo hivyo si unaona Mwenyekiti anapambana kuzilinda? ππNdio maana sijaona umuhimu wa kupiga kura
WoiPiga hivyo hivyo si unaona Mwenyekiti anapambana kuzilinda? ππ
Siasa ni kazi kama kazi zingine,atakula wapi?Huyu Mama ni Mwamba!
Nadhani baada ya Uchaguzi 2025 afikiriwe kuwa Mbunge wa Viti maalumu Chadema!
..nitashangaa chadema taifa kuamini hizi drama..she s not genuine! Ndio mapandikizi haya..Wakuu,
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Baada ya kutoridhika na majibu ya wasimamizi wa kituo Cha kupigia kura Site One Bi Aisha Madoga akaamua kuondoka na daftari la kupigia kura ndipo vurugu zikaongezeka katika eneo hilo la Site One Area D Mkoano Dodoma.
Mkuu CCM isikupe kibri sana kwa sababu kushiba Leo !!Unatengeza laana baadaye !Kukosesha haki ya mtu yeyote kwa namna yoyote italipwa baadaye.
MAGUFULI alijiona karibu sawa na Mungu Lakini Leo ni mzoga .
Nakuhakikishia Leo unafurahia utawala huu ipo siku mtoto au mjukuu wako atahangaika kwa sababu yako .Laana huwa Ina mfumo wakwenda mpaka kizazi cha nne
Wakuu,
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Baada ya kutoridhika na majibu ya wasimamizi wa kituo Cha kupigia kura Site One Bi Aisha Madoga akaamua kuondoka na daftari la kupigia kura ndipo vurugu zikaongezeka katika eneo hilo la Site One Area D Mkoano Dodoma.
Aaaah, wakati umefika......Wakuu,
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Baada ya kutoridhika na majibu ya wasimamizi wa kituo Cha kupigia kura Site One Bi Aisha Madoga akaamua kuondoka na daftari la kupigia kura ndipo vurugu zikaongezeka katika eneo hilo la Site One Area D Mkoano Dodoma.