Dodoma: Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe avamiwa, apigwa na kujeruhiwa na watu wasiojulikana

Freedom is coming tomorrow, we will overcome this.

"KEEP TO YOUR FAITH, WITH OUR EVILS, WE WILL NEVER RECOGNIZED GOOD"
Yani hata Mbowe akipigwa na wakina Lijua likali au Lwakatare basi inasingiziwa CCM jamani kwani mbowe hana maadui ukizingatia sekeseke lililomo ndani ya chama saizi
 
Jaribio la KUANGUSHA MWAMBA baada ya Mipango yote ikiwemo Manunuzi kushindikana. Kuumiza na Kuua viongozi wa CHADEMA hakutaifufua CCM ILIOJIFIA.
Inawezekana ni matatizo ndani ya CHADEMA mkuu
 
Si tuliarifiwa kuwa anahudumiwa kwa walinzi,mafuta,na gari.Au ulikuwa nje ya muda wao kumlinda. Jicho langu ameumia wapi maana nimeambiwa ni mguuni kama ni miguuni hawakuwa na dhamira ya kumuua.Unakumbuka zilevpicha za mawazo,mbakumbuka ile you tube ya risasi za T.A.L.

Tusubiri tuone na kupima kama ni dhamira ya kweli au maigizo.anayetaka kuua kwa panga hupiga kichwani na si mguuni.
 
Mbowe si ana mlinzi? Huyu mlinzi wake alikuwa wapi. Na huo mda wanasema kavamiwa usiku saa saba bado napata wasiwasi hao itakuwa vibaka tuu
Mkuu nawe tumia akili hata kama ana mlinzi, wakitokea hao vibaka 10 Huyo mlinzi 1 atafanya nini? Kuhusu swala la muda nayo ni hoja dhaifu.
 
Kama mataga mliweza kutetea Lissu kupigwa risasi 16 mchana kweupe sembuse mbowe kuvunjwa mguu!
 
Kesho ni njema kuliko jana,Pole sana Mh Mbowe .
 
Inasikitisha, inakarahisha na inatisha kwa nini AREA D TU, eneo la wastaarabu na lenye ulinzi wa kutosha, Kuna Nini area d
 
Hatuna uhakika.
Ila haya mambo yanayotokea Yana mfelisha sana magufuli na kumpa sifa mbaya.
Kama una uhakika na uongozi wako KWANINI UYAFANYE HAYA?.
Mwisho wa siku ukiondoka watu watasema.
"Alitujengea barabara,alituwekea umeme alitujengea madaraja n.k. lakini pia alikuwa ni MTESAJI NA MUUAJI".
hyo sio sifa NZURI.
Inaweza kuwa chadema kwa chadema mkuu CCM haiwezi kufanya move ya kipuuzi kama hii
 
Mkuu nawe tumia akili hata kama ana mlinzi, wakitokea hao vibaka 10 Huyo mlinzi 1 atafanya nini?? Kuhusu swala la muda nayo ni hoja dhaifu.
Watu walikua watatu yani mbowe hana hata bastora ni uzembe wa hali ya juu
 
Nani Mkweli? Msimuliaji au mtendewa??? Nani anastahili kuaminiwa ni msimuliaji au mtendewa??? Yatupasa kutoa mda na kufanya upembuzi na utafiti wa kina ili Kupata Ukweli.

Ni vyema kuamini au kuto kuamini, Ukiona hauko upande wowote ni Jambo la hekima kukaa kimya kuliko kuzusha au kuwakera waliyokutwa na maswaibu.Poleni wanafamilia wa chadema ila tuendele kuchuja na kuchekecha ili tupate ukweli.
 
Magufuli hapa ndipo anapofeli.
Kama haya mambo hayajui ni wazi WANAMUHARIBIA YALE MAZURI ALIYOFANYA.
unaweza ukawaletea watu maendeleo lakini kama hakuna amani.
HAYO MAENDELEO NI BURE
Ni magufuli aliyemshambulia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…