Dodoma: Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe avamiwa, apigwa na kujeruhiwa na watu wasiojulikana

Hawaa Wanamgambo wa green guard ni kikundi cha wahuni kaabisa
 
Yani hata Mbowe akipigwa na wakina Lijua likali au Lwakatare basi inasingiziwa CCM jamani kwani mbowe hana maadui ukizingatia sekeseke lililomo ndani ya chama saizi
Ina maana mkuu huwa hujasoma kabisa dictatorial regimes na jinsi zinavyooperate???????
 
Amka peke yako.
Tuache sie bado tumelala usingizi mtamu kwenye nchi yetu.
Di*k head
Akili ni nywele ndiyo maana wakati wewe unashinda na njaa sisi wenzako tunakula bata lkn bado hatuna mipango na ccm.
 
Ni magufuli aliyemshambulia?
Mkuu try to think beyond the box! Hii serikali inaongozwa na Magufuli na kwa cheo chake kama amiri jeshi wa nchi vyombo vyote vya dola vipo chini yake, hivyo kunapotokea hali ya kutowepo na AMANI kwa wananchi, yeye hawezi kujitenga na lawama!

Pia ni Mwenyekiti wa CCM taifa , hivyo kama mipango hii miovu inapangwa na CCM , hapa anachomokaje! Tunajuwa hawezi kuhusika moja kwa moja lakini kwa nyadhifa zake ndiye anapaswa kujenga mazingira ya kuhakikisha matukio kama haya hayatokei au yanakomeshwa!
 
Huo ndiyo ukweli
 
Mjadala kuhusu Tundu Lissu kutia nia ya kugombea uraisi wa JMT umekuwa moto mkali ndani na nje ya nchi.

Ili kuondoa umaarufu huo, mzee wa master mind ameamua ku-divert attention hiyo kwa kumvamia na kumjeruhi mh. Freeman Mbowe.

Sasa anaye-trend siyo Lissu tena bali ni Mbowe.



 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…