Dodoma: Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe avamiwa, apigwa na kujeruhiwa na watu wasiojulikana

Wewe unayekijua kiseme! Poor you! Acheni ramli chonganishi, na ya kwenu yanajulikaña pia
Kujitambua ndio msingi wa maisha salama. Baba wa Taifa aliwahi kutahadharisha kwa msemo wa kabila lake kuwa "anayeficha maradhi kilio humuumbua".
 
Hiyo chuki ni tafsiri yako, wa Tz wengi wapo busy na maisha yao na wana siasa wapo busy na Maisha yao, in fact unaweza kukuta hili tukio likawa exit plan ya victim , kisingizio kapigwa wakati kesha vuna vyakutosha
Inawezekana hata ile sumu ya Mangula ilikua ni exit plan yenu sio?
 
Hivi Mbowe hakuna na wale mabaunsa wake?
Ilipotokea kwa Lisu mkajificha kwa dereva wake, sasa imetokea kwa Mbowe mnasingizia kwa nini hakuwa na ulinzi?! Yote ni kutafuta justification ya kutofanya uchunguzi.
 
Mwenzako katunga movie, wewe unalia lia machozi, shauri yako
 

Nimurudia mara nne ulichowakilisha , mkuu kwa kuwa umekwenda sana personal nasita kukuambia siwezi kukujibu. Kwa kuwa ninatakiwa kwenda persoal ili niwakilishe mawazo na muono wangu kwa ufasaha. Na kwa uelewa wangu huu uwanja sio sahihi.

Nashukuru nimekuelewa, umetumia maneno mengi kuwakilisha kilichomo akilini mwako. Naomba urudie mara nne uweze kujua umewakilisha nini ?. Nafarijika nimeupata ufahamu na uelewa wako kupitia kwa ulichowakilisha.
 

Unaakili fupi sana kwa haya mawazo yako
This shows how you think awkward
 
Inawezekana hata ile sumu ya Mangula ilikua ni exit plan yenu sio?
Kama hujui maana uliza, sasa Mwenyekiti wa Maisha lakini yeye siku zote hagombei urahisi, Leo Lisu ndio anatarajiwa au Lazaro, n.a. yeye Hai ,hali ni tete aache kutafuta pakutokea??? Akili ni nywele
 
Kama hujui maana uliza, sasa Mwenyekiti wa Maisha lakini yeye siku zote hagombei urahisi, Leo Lisu ndio anatarajiwa au Lazaro, n.a. yeye Hai ,hali ni tete aache kutafuta pakutokea??? Akili ni nywele
Vipi Mangula ile sumu alipewa na nani maana tulimuona mpk mwenyekiti wenu wa taifa pale hosp. akimcheki hali yake huku Mambosasa akipiga mikwara ya hatari.

Vipi exit plan yenu iilifanikiwa?
 
Anko tutafika kweli ?

...ujue nini anko, haya ndo madhara ya wtu wachache kuachwa wafanye wanachotaka (getting away with..) huku wengine wakikamatwa kwa shurti kwa kusema maneno ya kawaida kabisa dhidi ya watawala. Nitakupa mfano mdogo tu ambao waweza kuwa hauhusiani na hili, Musiba, anatoa maneno machavu na vitisho vya kuua na kuumiza wanaomsema vibaya JPM, hakuna hatua yoyote anayochukuliwa si na TCRA, polisi wala UwT. Yule jamaa wa Mbeya, Mdude akiandika kidogo kuhusu kuelezea mapungufu ya rais basi atapigwa na kusingiziwa kesi mbaya za kutweza.

Kuhusu kufika, tutafika tu hili wala halina shaka, muswada unapelekwa kuwalinda watawala na kwa kuona wenye macho wataongea akiwemo FAM, basi wanaona wamnyamazisha. tutafika kwa nana yetu na muda si mrefu. hata siku moja dhulma na twezo kwa wanaokupinga kwa hoja haijawahi kuwa njia nzuri ya kuleta uttangamano wa kisiasa mahali popote. Yana Mwisho
 
Baada ya Dk Mollel kutaka kuweka hadharani mbinu zote ambazo chadema walipanga kumshambulia Lisu ili kumzuia asigombee uenyekiti wa chama naona Mbowe anajihami kwa kutuletea igizo la kushambuliwa!!!

We ni bwege kweli
 
Kichwa cha habari kinajieleza,pole sana mkuu.Mungu anapokua anakuandaa au kuandaa jombo fulani mahumivu ni lazima.

Najua fika maumivu ya ya kuvunjika maana hata mimi nilivunjika mwaka juzi kwa kuteleza na ngazi wakati namwagilia Nyumba yangu ,ilikua in kipindi kigum sana kwangu maana ni wakati nilikua nimebakiza week mbili tu kumaliza likizo ili nikatimize majukum yangu ya ki kazi .

Nikiwa na piron fracture na muogo zilipo isha SIKURUDI NYUMA NILISONGA MBELE,na muogo wangu na magogo yangu mawili tena kwa kusafili na mabasi mwendo mrefu ,na nilitimiza majukum yangu ,pamoja na maumivu makali niliyokua nasiki ,na ilifika mda nikalitoa mwenyewe li POP hata kabla ya mda nikabaki na magongo,so MR MBOWE DONT GIVE UP,lazima usimamie kile unacho kiamini mpaka mwisho wa tone la dam yako,
Pole pole pole sana Mkuu

Ipo siku kama sio Leo vizazi vijavyo watakuelewa sana .
Ni matumaini yangu ndani ya week 8-10 utakua unadunda but NEVER GIVE UP
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…