Tuwekeeni picha, maana zenyewe zinasema kuliko maneno yetu
 
Halafu eti mtu kuvunjika kidole gumba Cha mkono tu ndiyo analazwa hospitali siku tatu!!! Je angevunjika kiuno angelazwa miaka mingapi?! Any way , serikali wanaficha kilichotokea kama busara kwa ajili ya kunusuru ndoa yake. Ukweli ukijulikana mke wa naibu waziri atazua mtafaruku ambao serikali hawataki jambo Hilo litikee
 
Kwani Polisi wanasemaje? Ajali ilitokea wapi? Saa ngapi? Gari ilikuwa na abiria wangapi? Evacuation mission ya majeruhi ilifanywa na nani?

Polisi walifika eneo la tukio? Waliwahoji mashuhuda na wakasemaje? Majibu kama haya, huwa yanatolewa na Polisi na inakuwa ndio taarifa rasmi ya ajali.
 
Viongozi nchi wepesi sana

We wategeee madem tu utawaokota sana

Ova
Hahaha.................wakifanyiwa maajabu tu huko vyumbani kazi inakuwa imeisha.

Watu wanafunguka hadi mipango ya 2030 huko 😄🙌
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…