Plot4Sale DODOMA nauza Kiwanja kwa matumizi ya Taasisi mbalimbali

Dodoma mnapandisha Bei ya kila kitu utadhani New York....Kuna kipindi Ulikua unaenda New York unapata Nyumba kwa Dola laki 2 wakati Masaki Dunia Ya 3 Kiwanja kiliuzwa dola mil 4.....
Magufuli alidhibiti huo Ujinga ukaisha Wenyewe.
Ni kweli wa bongo hawajui bei ya aridhi kabisa, imagine mtu ana accre 7 Dodoma takriban 20km kutoka Town centre na anaiuza roughly 500m, wakati nikienda johnessburg City inestiment department na $1m, kwa lengo la kuwekeza ntapewa takribani accre 10 savayed za aridhi bure, kwa shariti la kuekeza, kwenye uchumi wao......sasa Dodoma ina uchumi gani wa kununua aridhi ya 500m kama sio ujinga, na uwekeze 2bn total investment iwe 2.5bn, biashara gani utaweka ulejeshe hiyo pesa kwa period of 10yrs.
 
OK Sawa na hao ndugu zako wa Jiji wanauzaje viwanja hapo Dodoma au hiyo kazi wamewaachia wananchi wasonge nayo?!
 
Mji umerudi dar mkuu. Yaani labda jpm afufuke ahamishie wafanyakazi huko Tena.
Ila saivi wengi Sana wataviuza mno
Mana value haipo tena
 
Nauza Viwanja vitano vipo eneo moja vimepimwa full documents. Vipo Nzuguni karibu na Barabara ukubwa kuna 1583, 1603 ,1133 square meters pia kuna 799 na 727 square meters bei ni 10,000 kwa square meter contact 0745607993
 

Attachments

  • IMG-20220722-WA0000.jpg
    43.2 KB · Views: 28
  • IMG-20220722-WA0001.jpg
    37.4 KB · Views: 24
Nzuguni kubwa! Kuna Nzuguni C, B, A, Mahomanyika, nk.

Pia ungemsikiliza tu mdau kwa kuweka bei halisi, badala ya hii bei ya 10,000 per square meter.
Nzuguni A eneo ukiwa nzuguni secondary unaviona Viwanja vimebaki kadhaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…