Basi na watu wataendelea kufa km ni hivyo na watakufa saaanaπ π π serikali ipo busy na kukusanya tozo, tena ikupe suluhisho la mahusiano yako? You are not serious
Vicoba vinaingiza pesa serikalini..kuna miamla ya kufa mtu kule
Basi Kama ndo hivyo ka maoni ya huyo jamaa inabidi hata pombe ipigwe marufuku, maana vifo vilivyosababishwa na pombe Ni vingi kuliko hivyo vya vikoba.Kwanini iwekwe sheria? Kwaajili ya kulinda nini? Vicoba ni kitu halali kuna ambao vinawasaidia sana.
Kila kitu kina madhara na faida
Wafe tu kuna wengine watazaliwa.Basi na watu wataendelea kufa km ni hivyo na watakufa saaana
Mark my words
Muulize mkeo km ana akili au hana...me niko kikoba na hela ya hisa napata kihalali kabisa..Sawa sasa hawa wanauliwa na wengine wanaamua kujiua kabisa sababu ni nini
Nakwambia Mimi nimenuniwa kisa hio michezo yenu ya kipuuzi leo siku ya pili kisa Vicoba kila siku Vicoba kila siku Vicoba mnanufaika...
Nashindwa kumuelewa ujue.Basi Kama ndo hivyo ka maoni ya huyo jamaa inabidi hata pombe ipigwe marufuku, maana vifo vilivyosababishwa na pombe Ni vingi kuliko hivyo vya vikoba.
Anatumia akili ndogo kufikia hitimisho la hoja yenye masrahi mapana kwa jamii
Heee!hii nayo mpyaSerikali iingilie kati hivi VICOBA vipigwe marukufu this is too much now watu wataendelea kufa tu
Hiyo ndo hoja ya msingiiiMpe mahitqji ili atulie. Asipotulia huyo sio wako au sio level yako...
Sasa hao wanaokufa wanakosea wapiiiii mbon wanakufa km mnanufaika sasa nini shida?Muulize mkeo km ana akili au hana...me niko kikoba na hela ya hisa napata kihalali kabisa..
Wangapi wamekufa kwaajili ya vicoba?Sasa hao wanaokufa wanakosea wapiiiii mbon wanakufa km mnanufaika sasa nini shida?
Elezea hapa sababu ni nini?
Utofauti wako weewe na wao ni upi?
Mchawi Pesa ila sio za VICOBAWafe tu kuna wengine watazaliwa.
Ni mjinga pekee ataua eti kisa mke kaenda kikoba.
Na wewe nenda bar ukaangalie mpira.
.
.
Mchawi pesa ndugu yangu.
Sijui ana stress huyu....haelewekii.. kama mkewe wamemkula ili apate hisa ni yeye asijumuishe watu woteΒ³Basi Kama ndo hivyo ka maoni ya huyo jamaa inabidi hata pombe ipigwe marufuku, maana vifo vilivyosababishwa na pombe Ni vingi kuliko hivyo vya vikoba.
Anatumia akili ndogo kufikia hitimisho la hoja yenye masrahi mapana kwa jamii
KighuneMwakiposile kwanini unatuaibisha watu wa Mbeya?
Wewe ni wa Kyela au Tukuyu!?
List ndefu fika kituo cha polisi kilichopo karibu nawe watakupa takwimu zilizopo vifo vitokanavyo na VicobaWangapi wamekufa kwaajili ya vicoba?
Mpe hela anayoifata huko vicoba.Mchawi Pesa ila sio za VICOBA
Vicoba kama vicoba havina shida yoyote.List ndefu fika kituo cha polisi kilichopo karibu nawe watakupa takwimu zilizopo vifo vitokanavyo na Vicoba
Wewe Pombe sio Vicoba usichanganye madesa hapaBasi Kama ndo hivyo ka maoni ya huyo jamaa inabidi hata pombe ipigwe marufuku, maana vifo vilivyosababishwa na pombe Ni vingi kuliko hivyo vya vikoba.
Anatumia akili ndogo kufikia hitimisho la hoja yenye masrahi mapana kwa jamii