Dodoma: Rais Magufuli apiga simu mubashara kwenye Kongamano la CWT na kukanusha kufutwa kwa Ualimu Ngazi ya Cheti

Dodoma: Rais Magufuli apiga simu mubashara kwenye Kongamano la CWT na kukanusha kufutwa kwa Ualimu Ngazi ya Cheti

Huyu hapati kura yangu, ni miaka mitano sasa ninasubili mshahara Mpya, hata ile annual increment imekuwa shida. Kura yangu ni kwa Lissu tu.

Vipi akikuongezea mshara kesho na kukupa malimbikizo yote, je utampa kura yako?
 
Hawa wabaya wetu wamepata wapi mandate ya kutoa taarifa itayotuharibia bila kuiwasilisha ifanyiwe vetting 🤨
 
Ndio maana imebidi apumzike kwanza na kampeni, kwani ni ajabu kusema tangazo la kipumbafu wakati linatoka kwako mwenyewe kwa maana ya serikali unayoiongoza! Hivi mkewe ni mwalimu wa ngazi ipi?
Kwa tangazo hiki, mkewe pia ni mpumbavu.
 
Wala hilo siyo la kuuliza! Ni mpumbavu na tangazo lake la kipumbavu!
Sasa ni wakati muafaka wa kuzi hakiki hizi Phd zinavyo pingana kweli Jiwe ni holder halali wa hiyo kitu? Jamani ata ethic ya hiyo kitu aliisomea? Au iyo kitu rusa kuropoka ropoka nashauri diognas ifanyike haraka
 
Usiwe mjinga. Naibu Katibu mkuu anatoa tangazo kama nani? Anayetoa tangazo lolote ni katibu mkuu au mtu mwingine kwa niaba ya katibu mkuu wa wizara husika. Fake news
Wee mjinga nini! Yani katoa hadi video ya hilo tangazo lakini bado huelewi! Hii nchi ina mazuzu balaa.
 
Vipi akikuongezea mshara kesho na kukupa malimbikizo yote, je utampa kura yako?

Kuna watu hapa Tanzania wametokea tu kuichukia CCM na Viongozi wake. Mimi ni mmoja wao. Yaani CCM hata inifanyie nini, mwisho wa siku siipendi tu.

Natamani na Wapinzani nao washike Dola ili wananchi tuweze nao kuwapima. Haiwezekani tangu 1977, tunaisikia CCM tu! Inachosha.
 
HIVI KARIBUNI UTASIKIA ANAKANUSHA SUALA LA VITAMBULISHO VYA WAJASILIAMALI!
 
Kwa hiyo tufuate maamuzi ya wataalamu wa serikali au ya mwanasiasa, haya ngoja tumsubiri na polepole ataongea nini..
 
Huyu jamaa anadharau sana wanawake...wanawake amkeni ..
 
Sasa ni wakati muafaka wa kuzi hakiki hizi Phd zinavyo pingana kweli Jiwe ni holder halali wa hiyo kitu? Jamani ata ethic ya hiyo kitu aliisomea? Au iyo kitu rusa kuropoka ropoka nashauri diognas ifanyike haraka
Zee halina busara hili na lidhalilishaji la wanawake kwa uwazi kabisa! Hivi alishindwa nini kumpigia huyo mama akapata ufafanuzi ya kile kinachoendelea? Nimemsikia hata Katibu mkuu wa wizara ya Elimu James Mdoe naye anasema hivyo hivyo kama alivyosema Dr. Ave Maria! Amewadhalilisha kwa kutaka sifa za kijinga! Tumpige chini tarehe 28/10/2020
 
Usiwe mjinga. Naibu Katibu mkuu anatoa tangazo kama nani? Anayetoa tangazo lolote ni katibu mkuu au mtu mwingine kwa niaba ya katibu mkuu wa wizara husika. Fake news
Loolh.... Pole mkuu.
 
Back
Top Bottom