Dodoma: Rais Magufuli apiga simu mubashara kwenye Kongamano la CWT na kukanusha kufutwa kwa Ualimu Ngazi ya Cheti

Dodoma: Rais Magufuli apiga simu mubashara kwenye Kongamano la CWT na kukanusha kufutwa kwa Ualimu Ngazi ya Cheti

Aliyesema tuna rais wa ajabu kupata kutokea alikosea wapi?
 
Rais Magufuli amewataka walimu na watanzania kwa ujumla kupuuza taarifa zinazodai kwamba serikali imefuta mafunzo ya ualimu ngazi ya cheti kwa shule za msingi na awali, na kwamba mafunzo hayo sasa yataanzia ngazi ya Diploma.

Rais Magufuli ameliita tangazo hilo kuwa ni la kipumbavu.

Source: Swahili Times

Maendeleo hayana vyama!
Serikali haiwasiliani!?
 
Katibu mkuu si naibu katibu mkuu. Ingalikuwa kwa niaba ya (KNY) au for; then tunaiamnini siyo kuweka naibu katibu mkuu. Inatakiwa kny katibu mkuu
Mzee acha kuzima moto wa petroli kwa dizeli 😂😂
 
Huyu hapati kura yangu, ni miaka mitano sasa ninasubili mshahara Mpya, hata ile annual increment imekuwa shida. Kura yangu ni kwa Lissu tu.
wewe Na mama yako hata msipopiga kura, ushindi jpm alishapata kutoka smz Na kanda ya ziwaaaa
 
Hapa kuna kitu hapa si bure.. Walimu ngazi ya Cheti ni kujiendeleza tu.
 
Kwa hiyo tufuate maamuzi ya wataalamu wa serikali au ya mwanasiasa, haya ngoja tumsubiri na polepole ataongea nini..
Nyumba uliyofitinika haiwezi kusimama. Jiwe amechanganyikiwa, anatoa kauli tata inayomfitinisha na watendaji wake. Hatimaye ni nyumba kuanguka.
 
Huyu ndo Raisi wetu.. Hana mawasiliano na wizara zake... SASA HAJUI KAZI YAKE HUYU wanini...

Akapumzike Akashangae uwanja wake a CHARTTLE.
 

Attachments

  • IMG-20201005-WA0126.jpg
    IMG-20201005-WA0126.jpg
    42.1 KB · Views: 3
Aiseh Elimu yetu IPO mashakani

Hivi inawezekanaje wizara iamue X walio nje ya wizara ambao kimsingi sio wataalamu waamue Y?

Na kwann hawa wataalamu hawawahusishi wadau wote kabla ya kuja na matamko yao ya mwendokasi kama haya

This could no longer be called 'A profession'
Poor us!!
Soma vizuri waraka wa Wizara. Umezingatia yote uliyoyataja. Tatizo pengine ni kuwa Rais alidhani maamuzi ya wizara hayapendwi na yatampunguzia kura. Wizara imewatoa wasiwasi walimu wa cheti wa sasa kuwa wataendelea walivyo
 
Leo tarehe 5 Oktoba, katika Kongamano la Kuadhimisha Siku ya Walimu Duniani lililoandaliwa na CWT, Dodoma, Rais John Pombe Magufuli alipiga simu 'live' na kuongea na washiriki wa kongamano na pia kukanusha kufutwa kwa ualimu wa ngazi ya cheti.

Rais Magufuli amewataka walimu kupuuza taarifa hiyo na kusema kuwa tangazo hilo ni la kipumbavu na kwamba ataendelea kuwa pamoja na walimu wote.


Pia soma: Siku ya Mwalimu Duniani: Wizara ya Elimu yafuta rasmi mafunzo ya Ualimu wa shule ya msingi na awali ngazi ya Cheti Tanzania
There are some powerful people in our country trying to make it difficult for us to vote for Tundu Antipas Lissu. You know why? Because they know when we vote, things change.
 
RAIS John Magufuli ametengua Maamuzi yaliyotangazwa na Naibu Katibu Mkuu Ave Maria Semakafu kuhusu kufutwa kwa mitaala ya Elimu kwa ngazi ya cheti.

Uamuzi wa Rais Magufuli umekuja saa chache baada ya Semakafu kutangaza mtaala mpya wa ualimu utaanzia ngazi ya Diploma, hata hivyo alisema kwa walimu waliopo mashuleni wataendelea na kazi na kupata muda wa kujiendelea kama watapenda.

Hata hivyo Rais Magufuli amepiga simu kwenye Kongamano la Walimu linaloendelea Mjini Dodoma ikiwa leo ni siku ya walimu amesema " Kuna tangazo linazunguka kuhusu kufutwa kwa mtaala ngazi ya cheti, lipuuzeeni, limetolewa na watu wabaya, tulianza na nyinyi tutamaliza na nyinyi.

" Mke wangu ni mwalimu ngazi ya cheti, mke wa Waziri Mkuu Majaliwa ni mwalimu ngazi ya cheti, tunawathamini, ndio maana tumetoa nafasi za ajira 13,000," amesema Magufuli

HabariLeo

Mimi ninavyojua tu hakuna 'Maamuzi' yanayofanyika bila 'ridhaa' ya 'Big Boss' ila inashangaza tena kuona 'Big Boss' anamgeuka Mtu wa chini yake.
 
Hivi hadi katibu mkuu wizara anatoa tamko inamaana alijitolea tuu au lilikuwa kwenye mpango linafahamika na waziri wake pamoja na baraka la baraza la kawazidi? Na kama alijitolea mwenyewe tu je kuna mangapi maamuzi yamefanyika kwa utashi tu wa mtu?

Kuwaambia watu wapuuze nadhani ni kosa kubwa lakiufundi kwenye utendaji mzima hakuna credit yoyote unayopata zaidi yakupoteza point
Kwahiyo Dr avemaria ni mbaya wa Magufuli Sasa anasubiri Nini kujiuzulu? Adui wa amiri jeshi?
 
RAIS John Magufuli ametengua Maamuzi yaliyotangazwa na Naibu Katibu Mkuu Ave Maria Semakafu kuhusu kufutwa kwa mitaala ya Elimu kwa ngazi ya cheti.

Uamuzi wa Rais Magufuli umekuja saa chache baada ya Semakafu kutangaza mtaala mpya wa ualimu utaanzia ngazi ya Diploma, hata hivyo alisema kwa walimu waliopo mashuleni wataendelea na kazi na kupata muda wa kujiendelea kama watapenda.

Hata hivyo Rais Magufuli amepiga simu kwenye Kongamano la Walimu linaloendelea Mjini Dodoma ikiwa leo ni siku ya walimu amesema " Kuna tangazo linazunguka kuhusu kufutwa kwa mtaala ngazi ya cheti, lipuuzeeni, limetolewa na watu wabaya, tulianza na nyinyi tutamaliza na nyinyi.

" Mke wangu ni mwalimu ngazi ya cheti, mke wa Waziri Mkuu Majaliwa ni mwalimu ngazi ya cheti, tunawathamini, ndio maana tumetoa nafasi za ajira 13,000," amesema Magufuli

HabariLeo

Mimi ninavyojua tu hakuna 'Maamuzi' yanayofanyika bila 'ridhaa' ya 'Big Boss' ila inashangaza tena kuona 'Big Boss' anamgeuka Mtu wa chini yake.
Simamisha huduma ya MV VICTORIA kisha irudishe!
- simamisha huduma ya treni njia ya Tanga, Moshi & Arusha kisha rudisha!
.
.
.
😅
👊 ✌️✌️✌️💥
 
Leo tarehe 5 Oktoba, katika Kongamano la Kuadhimisha Siku ya Walimu Duniani lililoandaliwa na CWT, Dodoma, Rais John Pombe Magufuli alipiga simu 'live' na kuongea na washiriki wa kongamano na pia kukanusha kufutwa kwa ualimu wa ngazi ya cheti.

Rais Magufuli amewataka walimu kupuuza taarifa hiyo na kusema kuwa tangazo hilo ni la kipumbavu na kwamba ataendelea kuwa pamoja na walimu wote.


PIA SOMA: Siku ya Mwalimu Duniani: Wizara ya Elimu yafuta rasmi mafunzo ya Ualimu wa shule ya msingi na awali ngazi ya Cheti Tanzania
Magufuli ni mshamba ile mbaya anafikili bado tupo enzi za miaka ya 1970 ambapo aliye kuwa na uwezo wa kuangalia tv alikuwa Nyerere peke yake. yaani hiyo anatengeneza tatizo halafu anakuja kulitatuwa ili aonekane kama superhero. akili ya kitoto kwelikweli. amewatuma watu waandike baruwa halafu baadaye aje aitenguwe ili walimu wamshagilie kuwa amewaokowa.
 
Back
Top Bottom