DODOMA: Rais Magufuli azindua ofisi ya Rais (Ikulu) Chamwino na mji wa Serikali eneo la Mtumba

DODOMA: Rais Magufuli azindua ofisi ya Rais (Ikulu) Chamwino na mji wa Serikali eneo la Mtumba

CDF: Yanayotokea nchi ya jirani(??Sudan) yanaweza kushawishi,waingereza wanasema ku-influence hali isiyotabirika ndani ya nchi yetu!! Kuna chokochoko zinazoendelea,tunazifuatilia.
CDF kayasema haya?!

Kama kayasema basi kuna kinachoendelea wengi hatukijui kuhusu haya mapinduzi ya kijeshi na upepo wake ktk Afrika . Tuombe Mungu tuwe na Mwisho Mwema!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CDF: Yanayotokea nchi ya jirani(??Sudan) yanaweza kushawishi,waingereza wanasema ku-influence hali isiyotabirika ndani ya nchi yetu!! Kuna chokochoko zinazoendelea,tunazifuatilia.
...ndugu yangu toka Mbeya mjini alinena....
 
CDF: Yanayotokea nchi ya jirani(??Sudan) yanaweza kushawishi,waingereza wanasema ku-influence hali isiyotabirika ndani ya nchi yetu!! Kuna chokochoko zinazoendelea,tunazifuatilia.
Hata mimi nimeshtuka kidogo ila mimi mawazo yangu yalinifikirisha Rwanda na Uganda.
 
nasikia ikulu mpya ni mgongo wa tembo,huu ubunifu unaonyesha utamaduni halisi wa mtanzania
 
Rais wa Nchi Dr. JOHN MAGUFULI leo hii tarehe 13 Aprili anazindua rasmi ofisi za Rais Ikulu Makao Makuu Chamwino Dodoma.

Pia Rais Magufuli anazindua mji mpya wa Serikali eneo la Mtumba.

Hii ni kuashiria kuwa ni rasmi sasa Rais anahamia Dodoma, makao makuu ya nchi.

Matukio haya yanashuhudiwa na viongozi wote wakuu wa nchi akiwemo Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Mawaziri na Mabalozi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa Tanzania.

Fuatilia uzi huu kwa updates.

updates......
Rais na msafara wake ameshawasili hapa na sasa ni dua maalum kutoka kwa viongozi wa dini



Vipi wenzetu wa kule ng'ambo wamekosa majahazi ya kuvukia kuja kushiriki? Au wao si sehemu yetu tena?
 
Back
Top Bottom