Kabisa na tuliona hili mapemaHii kauli ya mama imeongea mengi sana
Kumbe wale vichaa wakitumbuliwa wanaona ni kwasababu ya kabila lao[emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827]
Yamemfika...yamemfikia..!!! Kaamua kutema nyongo apate ahueni...apate afueni...!
Usukuma wake kvpUmtoe Kalemani umlete mhuni makamba [emoji1][emoji1][emoji1].Ukweli tuuseme tu Kalemani katolewa pale kwa sababu ya usukuma wake. Sipendi ukabila lakini hilo liko wazi, muda utaongea
Kunyamazia huu upuuzi ni sawa na kuatamia moto wa pumba! ... HATARI SANA!Hakupaswa kuyasema hayo,kusema hivyo ni kuchochea hisia za kikabila.
Wakimaliza Chadema watakuja KWENU paruwaneni tu hamna namna...Hakupaswa kuyasema hayo,kusema hivyo ni kuchochea hisia za kikabila.
... huku kanda ya ziwa sasa hivi kumewaka moto maana kuna watu, kwa sababu ya kutumbuliwa Kalemani, wanaeneza kwa nguvu chuki kwa kuzidi kuwalisha watu matango pori kuwa JPM aliuwawa ili Msoga gang washike nchi na kufanya wanayofanya sasa!Usukuma wake kvp
Paruaneni tu sisi Chadema tuna kunywa gahawa tu...taratiiibuUmtoe Kalemani umlete mhuni makamba πππ.Ukweli tuuseme tu Kalemani katolewa pale kwa sababu ya usukuma wake. Sipendi ukabila lakini hilo liko wazi, muda utaongea
Wanamchonganisha mama na wasukumaWamachame walalamishi sana!
Haha lolo yabhi shene hange choo!!!... huku kanda ya ziwa sasa hivi kumewaka moto maana kuna watu, kwa sababu ya kutumbuliwa Kalemani, wanaeneza kwa nguvu chuki kwa kuzidi kuwalisha watu matango pori kuwa JPM aliuwawa ili Msoga gang washike nchi na kufanya wanayofanya sasa!
HII NI HATARI KWA USALAMA WA TAIFA KAMA SERIKALI IKIZIDI KUTOKUWA WAZI ZAIDI KUHUSU NANI ALIWAJIBIKA NA USALAMA WA JPM KIPINDI ANAFARIKI !
Ni wakati sasa wa kudai uwiano wa dini,Mkuu acha kuleta udini, hao unao waita "Bakwata" ni wachache sana ukiangalia ktk kila idara za Serikali ukilinganisha na hao ambao sio "
"bakwata".
Mfano mzuri tu fanya utafiti ktk Muhimili wa Mahakama;
~Angalia Idadi ya Majaji wa Mahakama za Rufaa.
~Angalia Majaji wa Mahakama kuu pamoja na viongozi wake.
~Angalia wasajili wa Mahaka kote nchini.
n.k, hao unao waita "bakwata" ni wachache sana.
~Hata hivyo uwiano ni Jambo la msingi sana ktk kuimarisha umoja, uzalendo na mshikamano wa Taifa letu, kwa kuzingatia sifa.
Mama yuko vizuri sana kamwe asitetereke wala kuyumba.
Takwimu zipo na zipo wazi kabisa.
Nchi hii itajengwa na watanzania wote.
~Viongozi wengine wenye mamlaka za kuteua wanapaswa sana kuzingatia UWIANO katika kuteua waache tabia ya kujaza aina moja ya watu ktk utumishi wa umma.
Mungu Mbariki Rais wetu.
Ni vizuri kuwa muwazi mapema!Umtoe Kalemani umlete mhuni makamba πππ.Ukweli tuuseme tu Kalemani katolewa pale kwa sababu ya usukuma wake. Sipendi ukabila lakini hilo liko wazi, muda utaongea