Sukuma gang wamechachamaa...gambosh waongezewa...sijui wanamtafuta nani.... Sijui hii mbegu ya ukabila kwa nini inakuja kwa kasi hv... Wapo mawaziri tangu enzi..waliteuliwa na kutimuliwa...wakateuliwa tena( mifano ya karibuni..makamba Jr,Mwigulu,Ndugulile...)hatujawahi malalamishi toka kwao...sana sana walishukuru