Week Hii imeanza Kwa Teuzi za Waislamu, Tungoje TuoneSukuma gang wamechachamaa...gambosh waongezewa...sijui wanamtafuta nani.... Sijui hii mbegu ya ukabila kwa nini inakuja kwa kasi hv... Wapo mawaziri tangu enzi..waliteuliwa na kutimuliwa...wakateuliwa tena( mifano ya karibuni..makamba Jr,Mwigulu,Ndugulile...)hatujawahi malalamishi toka kwao...sana sana walishukuru
Poti kuna watu wajinga sana! ... mimi ni msukuma damu lakini naamini kuwa hii nchi ni yetu sote!Haha lolo yabhi shene hange choo!!!
Sukuma Gang haoHii kauli ya mama imeongea mengi sana
Kumbe wale vichaa wakitumbuliwa wanaona ni kwasababu ya kabila lao[emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827]
Yamemfika...yamemfikia..!!! Kaamua kutema nyongo apate ahueni...apate afueni...!
Nendeni mkachunge ng'ombe, tatizo nyie washamba SanaUmtoe Kalemani umlete mhuni makamba ๐๐๐.Ukweli tuuseme tu Kalemani katolewa pale kwa sababu ya usukuma wake. Sipendi ukabila lakini hilo liko wazi, muda utaongea
Wasukuma walijiona Nchi ishakuwa yaoSukuma gang wamechachamaa...gambosh waongezewa...sijui wanamtafuta nani.... Sijui hii mbegu ya ukabila kwa nini inakuja kwa kasi hv... Wapo mawaziri tangu enzi..waliteuliwa na kutimuliwa...wakateuliwa tena( mifano ya karibuni..makamba Jr,Mwigulu,Ndugulile...)hatujawahi malalamishi toka kwao...sana sana walishukuru
Huu ni uongo wa wazi.Safi Sana Rais Samia, hafanyi Kazi kwa kuangalia kabila la mtu, anateua mtu kulingana na utendaji wake
Sio kipindi kile Cha mtani wangu mwendazake, Kama sio wa kanda hile hupati teuzi ya nafasi nyeti
Kwa hakika Sasa tumepata Rais mnyenyekevu na mwenye hofu ya Mungu ya dhati