Dodoma: Tundu Lissu afuata gari lake lililoshambuliwa ofisini kwa RPC Muroto. Ashangaa hadi sasa hajahojiwa yeye na Dereva wake

Kudadadeki! Huyu mwamba ni untouchable. Yaani mikwara yote ile ya polisi kutishia kumkamata soon atakaporejea sasa imegeuka barafu.

Anadiriki kutinga hadi kwenye 18 zao na wanaishia kujichekesha tu. Hivi kulikoni jamaa anaogopwa hivi?
 
Hahahah huyu mgonjwa amekuwa kitukp kweli sasa kajipeleka ana shangaa hawajamuhoji wakati hakuwepo na alisha sema kuwa wao ndio walimshambulia sasa sijui anataka wamuhoji nini wakati majibu anayo mkononi hahahaha mgonjwa bwana
SI MLIKUWA MNASEMA ARUDI AHOJIWE? NA MLISEMA AKIKANYAGA TU TANZANIA MNAMKAMATA, SASA KAJILETA MNAKUWA WAPOLE TENA!
 
Kudadadeki! Huyu mwamba ni untouchable. Yaani mikwara yote ile ya polisi kutishia kumkamata soon atakaporejea sasa imegeuka barafu.

Anadiriki kutinga hadi kwenye 18 zao na wanaishia kujichekesha tu. Hivi kulikoni jamaa anaogopwa hivi?
HATA MIMI NASHANGAA. HIVI IGP BADO NI SIRRO YULE ALIYESEMA LISSU AKIKANYAGA TU ARDHI YA TANZANIA ANAMKAMATA
 
Shombo tupu mpaka kwenye tenenge yako....endelea kugeuzwa geuzwa mwili na akili kama gogo
 
Hahahah huyu mgonjwa amekuwa kitukp kweli sasa kajipeleka ana shangaa hawajamuhoji wakati hakuwepo na alisha sema kuwa wao ndio walimshambulia sasa sijui anataka wamuhoji nini wakati majibu anayo mkononi hahahaha mgonjwa bwana
Ruttashobolwa =Rutashobokerwa! Hopeless.
 
Wasiojulikana mpaka wajulikane.
Tayari wanajulikana vizuri na mkuu wa shambulio Daud Bashite hana raha anashinda makanisani mchana na usiku anakesha kwa waganga wa kienyeji kwa mujibu wa Le mutuz
 
Hahahahah [emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimecheka kweli

Huwa wanamsimanga akiwa mbali

Ila akiwa karibu wote wanakuwa washikaji
Hawana uhakika October 28 itakuaje maana huenda Lisu akawa mkazi wa Chamwino na mtukufu kurejea chato.
 
Uzuri selikali yangu na ccm sijaona mtu akimshobokea huyo jamaa yenu anaehangaika kama kuku anataka kutaga.
.
Watu wamemuacha ajihangaishe weee, hasira zikiisha atatulia ale ugali vizuri.
Hahitaji kushobokewa tokea lini atake wewe na wasiojulikana mmshobokee? nyinyi ni maadui lazima aendee kupiga kelele mpaka muache ushetani wenu wote
 
Analazimisha ahojiwe sasa ili atuhumu kwamba polisi wametumwa na Magufuli kumharibia ratiba zake za kampeni.

Trust me. This guy is an insane.
 

Kwa hili, Muroto hakuwa na jibu. Hakujipanga na kuuliza mamlaka ya juu. Amejiumauma tu. HONGERA SANA Mhe LISSU. Unajua cha kufanya, lini, na kwa hoja ipi. Ni wewe 2020. Kwa hili pia umeliacha uchi Jeshi la Polisi.
 
Analazimisha ahojiwe sasa ili atuhumu kwamba polisi wametumwa na Magufuli kumharibia ratiba zake za kampeni.

Trust me. This guy is an insane.
Angekufa mngetaifisha Gari lake? acha visingizio vya kishamba toka kolomije
 
CCM hawataki ushindani wa wazi ndiyo maana walipenyeza figisu figisu kila kona kuwahujumu chadema, wanajinadi kununua Ndege kujenga SGR na miradi mingi lakini hawajiamini na bado wapo busy kuwahujumu chadema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…