Dodoma: Tundu Lissu afuata gari lake lililoshambuliwa ofisini kwa RPC Muroto. Ashangaa hadi sasa hajahojiwa yeye na Dereva wake

Alienda police kuchukua gari lake.
 
Ni kweli wapo wafia chama au pro jamaa yangu. Lakini unaposoma comments zao, unavunjika moyo.

Ninachokiona kwa team hiyo , ni kuwa hawakuamini kama jamaa angelirudi na kuendelea na maisha kama kawaida . Na pia hawaamini ktk mawazo mbadala au tofauti na mapenzi yao.
 
Kwa sasa hivi huko Dodoma Tundu lissu anakaa nyumba IPI... Kule alikoshambuliwa? Au hotelini
 
Mimi niliuliza, kwasababu gari hilo ni sehemu ya uchunguzi ambao haujaisha hawezi kulichukua.
 
Utafaa sana ukiwa bongo movie
 
Lissu anaweka mitego kila mahali kaanza na NEC tayari wamevaa mtego na sasa

Polisi nao wameshauvaa,maana yeye sasahivi atakuwa anawasumbua kuhusu gari yake tu,wakisema bado maana yake inabidi waseme wamefikia wapi katika uchunguzi wao au asubiri kwa muda gani? ni ni kina nani wauaji wake[emoji3][emoji3] patamu hapo,

Na wakirudisha gari tu inabidi wawe na majibu yote ama wameshindwa au wamewapata wauaji hapo ndipo ulimwengu utajua tuna jeshi la ajabu kiasi gani na hapo ndio bwana Amsterdam itabidi aanze kazi yake[emoji3]

Lissu akili kubwa sana,itawachukua muda kuendena na spidi yake
 
Nadhani ni yote mawili kwakuwa kama wangemruhusu angeondoka nalo
Sidhani kama wangeweza kumruhusu kulichukua kwasababu za kiuchunguzi, wangempa ningewaona wanamatatizo kwenye hili.

Hilo gari ni sehemu muhimu sana katika uchunguzi kitaalam.

Ingawa nafahamu hawawezi kujichunguza.
 
Wazee wa krokwini iliyopakwa sukari hadi muda huu hawaamini kwamba hamna mwenye muda nao
 
Yaani lissu anatafuta kila njia akamatwe!
Nani amkamate sasa😂😂, serikali makini hii haiwezi kufanya matumizi mabaya ya rasilimali zake haswa kipindi hiki muhimu
Tundu hana madhara kwa serikali na ndio maana naendelea kusema kweli alifanyiwa ukatili na waliompigia risasi ila asilazimishe kuwaaminisha watu ati alipigwa risasi na rais John Pombe Magufuli au serikali yake.
A report kwenye vyombo vya usalama na kutoa ushirikiano kwa shauri hilo ili uchunguzi ukamilike na haki itendeke
 
Hehehe Jamaa haogopi tena kifo wala mateso... Huu ujasiri wake ipo siku utaleta matunda positive.. Vile vijana now wana amka na kuacha uoga...Nchi watu tulikuwa waoga sana.. Ila jamaa anachofanya anaweka attitude fulani hvi watu waache uoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…