Dodoma: Tundu Lissu afuata gari lake lililoshambuliwa ofisini kwa RPC Muroto. Ashangaa hadi sasa hajahojiwa yeye na Dereva wake

Kinachofuata atajipiga kisu huyu ili kuamsha hisia tu,maana kila anapogusa watu wamemchunia
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚na akisema ajidhuru au kujiteka tuu atashughulikiwa kwa mujibu wa sheria
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚na akisema ajidhuru au kujiteka tuu atashughulikiwa kwa mujibu wa sheria
Anachotafuta kwa sasa Ni sympathy,ananjijua hana uwezo wa kawaida wa kumshinda Magufuli,Leo kajipeleka polisi,kesho atavamia bunge kufuata documents zake ili mradi tu apate KUKAMATWA!
 
Duh!! Lissu is quite a Dude aisee!
 
Anachotafuta kwa sasa Ni sympathy,ananjijua hana uwezo wa kawaida wa kumshinda Magufuli,Leo kajipeleka polisi,kesho atavamia bunge kufuata documents zake ili mradi tu apate KUKAMATWA!
Kuna mtu amekuomba usympasize nae!?
 
Anachotafuta kwa sasa Ni sympathy,ananjijua hana uwezo wa kawaida wa kumshinda Magufuli,Leo kajipeleka polisi,kesho atavamia bunge kufuata documents zake ili mradi tu apate KUKAMATWA!
Atajichosha sana🀣🀣🀣
 
Hahahah huyu mgonjwa amekuwa kitukp kweli sasa kajipeleka ana shangaa hawajamuhoji wakati hakuwepo na alisha sema kuwa wao ndio walimshambulia sasa sijui anataka wamuhoji nini wakati majibu anayo mkononi hahahaha mgonjwa bwana
unakosa hoja hadi unajichekeshachekesha hovyo.
 
Lisu huu ujasiri wa kum face kiongozi yoyote wa serikali anautoa wapi ?

I wish watanzania wote tungekuwa tunajitambua na majasiri kama Tundu Anthipas Lissu, msomi mbobezi wa sheria na haki za watu.

Leo tusingekuwa tunashangilia ujinga ujinga pale serikali inapotekeleza wajibu kama kuimarisha miundombinu.
 
Bladha naona jamaa imembidi ahisi kajinyea mpaka kuifuta commentπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Reactions: jme
Kweli aise, cheki walivyo waondoa walinzi siku ile na baadaye kung'oa cctv camera [emoji23][emoji23]
 
Kila kitengo hujiendesha Kwa kanuni na taratibu zake, haiwezekani mtu kutoka anakokujua Yeye atake matakwa yake Yeye yafuatwe!! Utakuwa upumbavu
Hapo Lisu anatega mtego serikali ikitegeka itanasa kweli kweli na kumfukia John mazima. Siwaambii mtego gani umetegwa. Lumumba mtajibeba mwaka huu.
 
Lissu ni mjinga bahati mbaya kawaambukiza ujinga na watu wanaomwabudu anachofanya ni kutaka attention huyo dereva wake anaomzungumzia yuko wapi , pamoja na kuichukia ccm lakini siwezi kumpa Lissu kura yangu
 
Hahahah huyu mgonjwa amekuwa kitukp kweli sasa kajipeleka ana shangaa hawajamuhoji wakati hakuwepo na alisha sema kuwa wao ndio walimshambulia sasa sijui anataka wamuhoji nini wakati majibu anayo mkononi hahahaha mgonjwa bwana
kweli ukiwa ccm unakuwa Lofa hivi hujui kuna technolojia ya kuhojiana hata mtu akiwa mbali na wewe inaitwa kwa njia ya simu??? au telecomferencing!? wangeweza kumuhoji hata kama alikuwa nje ya nchi we zoba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…