Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii ndio point ya msingi pia.Kwa hali iliyopo ni vizuri serikali ikampatia Lissu ulinzi..
Maadui zake wanaweza kutumia nafasi hii na mzigo wote ukasukumwa kwenye hoja ya upinzani wake!
Mkuu hakuna mtu anaye weza kucheza na risasi, hata hao ambao hiyo ndio kazi waliyoichagua wakisikia mlio hawaji kirahisi hivyo, jua kwamba ikitoka huwa hairudi nyumaHii kama ni kweli bhasi ni wao WATAKUWA WANATENGENEZA HUU UJINGA....maana hii ndio njia mbadala kwa sasa ya kupambna na MAGUFULI.....ni kumchafua kama ambavyo walivyotengeneza ishu ya IMMA
Shall suffocate Oppression
Mungu ndio Mlinzi wake wa kweli maana hawa Wengine ndio watesi wakeKiongozi kama Lissu Zama hizi anastahili kupewa Ulinzi wa Uhakika
ipo wap Mkuukwa mujibu wa hiyo picha, washambikiaji walikuwa wanajua wanacho fanya.
angalia tundu ka mwisho la risasi katika kioo cha nyuma ni usawa wa kichwa kinapo egeshwa pindi mtu mzima akaapo
Ujinga gani sasa huu rudi jukwaa lako la chit chat hukoPole sana TL,lkn kwa kitu ninachokijua inawezekana kamanda Lissu akastage hii mambo au alichohaidi watu wa Acacia hajafanikisha
And humiliationShall suffocate Oppression
No matter how evil money is,but being broke is not holly.