DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali


Tutoe muda useme, lakini inatia uchungu sana.
 
Tangu nipate habar hz kila nilichojaribu kufanya nimeshindwa. Moyo unaniuma sina namna ya kuelezea. Niseme tu Mungu amponye na ashughurike na wates wetu. Kumpoteza Lissu ni hasara kwa taifa isiyoelezeka. Sijui kama viongoz wanafaham mchango wa Lissu. Niishie hapa
 

Hivi hiyo barua ya CCM ya tarehe 7 August 2017 walikuwa wameiandaa wakati wanapanga hili tukio au ni bahati mbaya tu?
 
Kwahiyo alipopatiwa first aid hospitali ya rufaa Dodoma walishindwa kummalizia hapo na hawakujua kama angejeruhiwa first step angepelekwa hapo?

Son of a teacher and you still don't get it, kama nia ni kuua wangejipanga vipi kwenda kummalizia hospitali ya rufaa Dodoma???
 
Lissu nae si alijui hilo why hakumwambia tupotilize?!!!

Hicho ndicho tunataka dereva atuambie kwa kuwa kwa sasa Lissu hawezi kutueleza ilivyokuwa. Je dereva alimtaarifu Lissu kuhusu gari lililokuwa linawafuata? Au alikuja kumwambia usishuke baada ya kufika eneo la tukio wakati wauaji walishakuwa tayari kushambulia?
 
Arud bungeni kwa rivas au kwa kufanyaje kwa mfano?Lissu alishasema kuwa anafatiliwa nadhan video ipo HUMU.DEREVA amejitahid alivyoweza

May Allah bless Me and You

Lissu amezungumza kumbe baada ya kushambuliwa? Maelezo ya dereva yanasema alishtukia kuna gari linawafuatilia kabla ya kuingia nyumbani. Kwa nini hakukimbiza hilo VX kuelekea kwenye usalama? Au unataka kusema mtaa anaokaa Lissu hautoki mpaka urudi reverse?
 
Agost 18,2017 Lissu alisema kuwa anafatiliwa na alitaja aina ya gari na Namba zake.
Huo uzi upo hapa JF na video ipo.
Kwa hiyo hata kama leo ameona anafatiliwa basi alichukulia kawaida.
Then kama waligundua wanafatiliwa wao sidhan kama walihisi wanaowafatilia wana Silaha.
Na hatujui mazingira yalikuwaje?Ya kuwafanya waongeze mafuta?Warudi nyuma?Au wakanyage mafuta kuendelea kwenda kwingine?
Hope dereva wake atakuja kuweka bayana.
Kuhusu Lissu kuongea baada ya shambulizi SIO KWELI

May Allah bless Me and You
 

Freedom has a price. Hayo wanayoyafanya CCM na viongozi wao kama yasingekuwa yanamuathiri kila mtanzania kungekuwa na busara kwenye hayo uliyoyasema. It is better to die on you feet than to live on your knees.
 
Watakuwa wameingilia account yako.

"PAMBANA NA HALI YAKO"
 
Moja yaManatumizi Mabaya ya sentensi za kiswahili
”Watu wasiojulikana ”
Utalisikia Neno Hilo hata pale video ya mhusika na jina lake vikiwekwa hadharani.
Nafunika vinywa vya viongozi wote Tanzania kwa Damu ya Yesu
 
Kwa namna mji wa dodoma ulivyo mdogo, nashangaa sana hawa watu hawajakamatwa mpaka sasa.
Dodoma sio padogo kama unavyofikiri.Veyula,msalato, makutopora, mzakwe, Areas (A-E) makole, Cbe udom, jwtz, hapo town. Watu wanajificha tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…