[emoji1] [emoji1] imebidi nicheke kidogo japo nina hasiraNape nae si ni kwa vile alikuwepo hamorapa, angetusuliwa siku hiyo
Hujawai kuona helicopter za kubebea wagonjwa?Mkuu kwa akili ya kuvukia barabara haingii akilini kabisa kwanza helicopter ina space ya kutosha kubeba machela ile na vitu kibao
Na haiwezi kutokea
Kwani atatibiwa na CCM?Binafsi nimesikitishwa na hii taarifa, nina hofu na treatment atakayoipata hapa bongo. Wasije kumpandikizia sumu mwilini, ccm ni zaidi ya wachawi
Sent from my Nokia-tochi using JamiiForums mobile app
Acha kuchangia hulazimishwi na mtu endelea kufurahia kelele za nini wewe bhana!. Rambirambi ni hiari usitokwe na povu kisa mchango.Kuna viongozi wa ccm walipigwa risasi kibiti pamoja na police wengi tu lakin hatukuona rambirambi wala kusema chochote ila lisu sababu yeye ni mbunge ndiyo tuwe mbele kwake haipo hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Umewezaje kuhitimisha kuwa chanzo ni siasa?jamaa katushtua sana watanzania kwa lililompata,sijawahi kuamini kuwa ni kweli binadamu anaweza kudhamilia kuutoa uhai wa mwenzie kisa siasa...
Acha kukashifu ukristu wewe. Sema katika jina la shetaniKatika Jina la Yesu kristo wa Nazareth.
Zile risassi zilizo mkosa Tundu Lissu nazifinyanga upya katika ulimwengu wa roho na kuzirudisha kwa kila mmoja kwenye meza iliyotumika kupiga mchoro wa kumuua Tundu Lissu.
Risasi hizi zirudi kwao kwa mwendo uleule nia ileile na kuleta madhara yaliyokusudiwa kwa Tundu Lissu kwa uhakika zaidi.
Ya kwanza impate kifuani mwenyekiti wa kikao. Wengine kwenye meza ya kikao chamchoro ziwapate vifuani kama walivyoazimia kwa Tundu Lissu.
Shimo wamelichimba sasa watumbukie wenyewe
Amen
Maombii maombiiiHata mimi ndio nashangaa mkuu ila ma dokta ndio wanaamua, labda waliona ni kesi kubwa kwao so haikua na jinsi zaidi ya kumpeleka Nairobi!! tumuombee apone kwa kweli!!
Baada Ya Sakata La Lissu Kupigwa
Risasi Na Watu Wasiojulikana Mapema Leo Hii Watanzania Wengi
Mno Ikiwemo Na Mimi Tumekuwa
Karibu Mno Kujua Nje Ndani Ya Mkasa Mzima Huu Ambapo Kila
Ukipita Ni Lissu, Mitandaoni Ndo
Hakufai, Simu Zinapigwa Kama
Kumetokea Vita Ya Tatu Si Vijijini
Wala Mjini. Kwa Kweli Nimevutiwa
Na Spirit Hii Ya Watanzania.
Habari Ya Lissu Imefika Pahala
Mpaka Ile Ripoti Ya Madini Imesahaulika Kabisa.
Habari Ya Lissu Imeibua Mjadala
Mzito Sana Kuhusu Hali Ya Usalama Nchini.
Habari Ya Lissu Imepunguza Imani
Kubwa Kwa Serikali Iliyopo.
Habari Ya Lissu Imempa Umaarufu
Mara Dufu .
Habari ya Lissu Imethibitisha Lissu
Ni Mkweli Kwa Kauli Zake.
Habari ya Lissu Imetangazwa Na Mastaa Kuliko Kawaida.
Na Huu Ni Ukweli Kwamba Haijawahi Kutokea
Isipokuwa Kwa Lissu.
Hawa Ni Baadhi Ya Mastaa Walio Guswa Na Issue Ya Lissu 583769[/ATTACH]View attachment 583770View attachment 583771View attachment 583772View attachment 583773View attachment 583774View attachment 583775View attachment 583776
Hadi Kimataifa.
Wema sepenga mbona kampotezea?.. naona Aunty Ezekiel na Lulu tu hapo