DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

mkuu rudisha basi ile avatar picha yako tuliyokuzoea ya Ronaldinho na zidane
 
Kwahiyo unamuombea Lissu afe siyo?ama kweli kuna watu na viatu
 
Namwombea Uzima Lisu na Ulinzi kwa wazalendo wengine wasimamao kwa haki za Watanzania.

Ninaomba kufahamishwa kutoka kwa wanaomfahamu PK.

Naye huwa anatoa matamko baada ya kuangamiza wanaomchallenge?

Kisha huwa anadhibiti media na watu wengine wanaotaka kufanya lolote kuonyesha hisia za uchungu walionao?

Vipi labda kuhusu mikusanyiko ya wapaza sauti? Huwa inaaruhusiwa kule?

Naomba kujua kwa ufahamu tu kwa kuwa tuko katika utandawazi.
 
kumbe kuwa gentleman sio lolote....dont judge anybody...huwez jua, labda yeye ndo ka-finance ndege kumpeleka mgonjwa kenya!!!!...na kama ikiwa nikisemacho ni kweli, itakua sawa na sie tuliotuma pole kwakutumia FB,WHATSAPP & TWITTER.....Dont judge mr gentleman

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amen .asante Jehova Rapha atamponya kwa Damu na Jina la Yesu mfalme mkuu
 
Maswali ni mengi sana. Unafuatiliwa toka bungeni na bado dereva anaamua kwenda nyumbani!
Mkuu kwakua amekua akifuatiliwa toka siku za nyuma bila madhara yoyote,nafikiri ata pale dereva wake alipomuambia kua anahisi kuna gari inawafuatilia haikumtia wasiwasi sana aliamini huenda ni walewale jamaa wanaomfuatilia hivyo hawakua na sababu ya kuanza kukimbia hovyo.

Sijui gari ile iliyofanya tukio ilisimama umbali gani na gari ya TL lakini wasiwasi uliwapata baada yakufika na ndio pale dereva akamueleza kua asishuke kwanza kuangalia upepo wa gari ile inayowafuatilia ina malengo gani.

Kwakua yeye ni mtu wakukamatwa kila siku huenda pia alijua ni askari tu waliotumwa tu hivyo hakushuka ili kuwasubiri labda wametumwa kuja kumkamata.
 
Sio kila anae sema pole ya haraka anamaanisha. Wengne wanafki bwana mwachen mzee wetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wataisingizia serikar sana wakati wenyewe hata kubadirishana uwenyekiti wanashindwa sasa kwa nini wasiuwane kama wanaona kuna mtu anakiherehere!

Sent using Jamii Forums mobile app
Tawaleni milele na pia msife wala kuugua.
Waliozuia siasa na kutaka ruhusa ya kumuua TL wanajulikana.
Alitoa taarifa ya kufuatwafuatwa na akataja wahusika je ilipewa uzito?
Acheni siasa nyepesi. Jengeni hoja na si matumizi ya mabavu.
Ninyi si watanzania kushinda wengine.
Msizuie midomo ya kuwasema
 
Wewe utakuwa ni mpagani!
 
Wewe utakuwa ni mpagani!
 
Unamuuliza nani sasa? jishughulishe na usumbue akili funga safari uende kule kwa PK utakuja na majibu ya swali lako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…