DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

Dah!.. Mungu ni mwema wakati wote, hii nchi imepitia mazingira magumu sana ya kisiasa awamu hii.
 
Ilikua siku ngumu hii,Ashukuriwe Mungu mkuu alietengua mipango ya waovu, spirituality
 

..nilisikiliza interview ya mke wa TL ilinisikitisha sana.

..mama yule alielezea safari yake ya kutoka Dsm kumfuata mume wake aliyekuwa ameshambuliwa Dodoma.

..pia Mh.Mbowe aliwahi kufika Singida na kuelezea jinsi walivyomtoa TL Dodoma mpaka kutua Nairobi na kumfikisha mgonjwa hospitali.

..lakini wako mashujaa watatu wa tukio hili. Na ni wasaidizi wa TL ambao walimchukua toka area D na kumkimbiza Dodoma Hospital.

..Nawazungumzia Khadija Akukweti aliyetoa msaada wa gari; Amina Abrahman Kanyama aliyetafuta msaada kwa Khadija; na Adam Mohamed Bakari dereva wa TL.

Mh.Mbowe:

 
Leo hii ikiwa ni tarehere 07/09/2020,ni miaka mitatu kamili tangu Tundu Lissu ashambuliwe mkoani Dodoma huku waliohusika na unyama huu wakiendelea kuitwa wasiojulikana.

Kibaya zaidi, watu fulani, hasa wa upande fulani, wanaonekana kuendelea kutoa kauli za kejeli juu ya tukio hili lengo likionekana kuwa ni kumfurahisha Bwana Yule anaedhaniwa kuwa yuko nyuma ya tukio hili.

Binafsi nasema,kwakuwa wameshindwa kuwa waungwana walau hata kwa kuacha kujeli,basi mwenyezi Mungu awashushie pigo takatifu wao na huyo wanamnyenyekea ambae dalli zinaonyesha alitoa baraka zake katika kutekeleza huu unyama.

Tuitumie siku ya leo kuwalaani hawa watu hasa wale wanaojitoa akili kisa kumfurahisha boss wao.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…