Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
Hakika nami nilitoa chozi hadharaniHiyo siku sitasahau, nilijikuta michozi inatoka kirahisi sana na kukosa uwezo wa kufanya lolote. Ikaniongezea chukikwa naadhi ya viongozi wetu.
Kwa sasa nina mtoto niliyembatiza jina huyu mwamba. Naamini watakutana siku Mungu akipenda