DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

Kwa hiyo mkuu muda wote huu unahisi Jf hakuna taarifa had unaanzisha uzi?
 
Risasi tano unasema inawezekana akawa amestage ....... Seriously!!?
Ingekuwa ni mzazi wake kapigwa risasi tano sijui kama angeandika takataka za namna ile! Unajua ni rahisi sana kutoa awkward comment ukiwa nyuma ya keyboard na jina feki.
 
Basi hapo nyie wanyama mtaanza kumlaumu rais Magufuli bila hata ushahidi wowote ule.
 
Ccm,police na serikali ya magufuli hili hawawezi kulikwepa
 
Pole sana TL,lkn kwa kitu ninachokijua inawezekana kamanda Lissu akastage hii mambo au alichohaidi watu wa Acacia hajafanikisha

How stupid? The man is in a hospital fighting for his life and you are here commenting nonsense!!!
 
Kamanikweli, basi alaaniwe aliejaribu kumuua.

Tunahitaji watu wenyekuelewa mambo kama Lisu watumie uwezowao kumuunga mkono mwenye nyumba ili taifa lisonge mbelekimaendeleo.




Sent using Jamii Forums mobile app
Hata wewe ukimuunga mkono mnafiki watakushangaa hata wanao...

-Domhome-
 
daah natetemeka mwili mzima,naomba Mungu taarifa hizi zibaki kuwa kama zilivyo kusiwe na habari nyingine kuhusu Lisu my God!!
 
Tumefikia huku? So sad, we pray for your quick recovery Mr. Lissu.
 
Ni wazi kabisa mkuu, na nafikiri unajua lawama zinaenda kwa nani hadi wakati huu!

Tuweke tofauti zetu za kisiasa pembeni, tumeikuta nchi ikiwa na amani na tuiache nchi ikiwa na amani!

Hakuna tunachoweza kufanya bila amani!
Nguvu iliyotumika kibitte na itumike kwa LISSU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…