Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingekuwa ni mzazi wake kapigwa risasi tano sijui kama angeandika takataka za namna ile! Unajua ni rahisi sana kutoa awkward comment ukiwa nyuma ya keyboard na jina feki.Risasi tano unasema inawezekana akawa amestage ....... Seriously!!?
Nimeipata habari hiyo mbaya kutoka Afrika sasa hivi
Pole sana TL,lkn kwa kitu ninachokijua inawezekana kamanda Lissu akastage hii mambo au alichohaidi watu wa Acacia hajafanikisha
Hata wewe ukimuunga mkono mnafiki watakushangaa hata wanao...Kamanikweli, basi alaaniwe aliejaribu kumuua.
Tunahitaji watu wenyekuelewa mambo kama Lisu watumie uwezowao kumuunga mkono mwenye nyumba ili taifa lisonge mbelekimaendeleo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamekufanya nini?Hata ukiwachukia atakayekua anaumia ni wewe si wao.Pambana na hali yako.ccm nawachukia sana na nitawachukia maisha yangu yote
Mbona mnajishuku?Basi hapo nyie wanyama mtaanza kumlaumu rais Magufuli bila hata ushahidi wowote ule.
Nguvu iliyotumika kibitte na itumike kwa LISSUNi wazi kabisa mkuu, na nafikiri unajua lawama zinaenda kwa nani hadi wakati huu!
Tuweke tofauti zetu za kisiasa pembeni, tumeikuta nchi ikiwa na amani na tuiache nchi ikiwa na amani!
Hakuna tunachoweza kufanya bila amani!