MDANGANYIKAJI
Member
- Jan 27, 2011
- 77
- 59
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeongea point sana, kupigwa risasi kwa lisu watu wengi wataituhumu serikali kuwa inahusika hata kama haiusiki
Well saidUkiona MTU yuko radhi kuua ili usimpinge muogope kama ukoma.
Sent using Iphone 7+
Jaribu kuwa makini na unacho kijibu ,usicheza na maisha ya binadamHawakua na nia ya kumuua
Wakitaka muonesha kuwa wanaweza muua
Hawakupendezwa na alichosema
I really love Lissu, I love his integrity, lakini nilishangazwa sana na anavyoponda jitihada za kuwazuia waizi wanaotuibia madini.. Hata kama serikali ilikuwa inakosea njia waliyokuwa wanaitumia, he is a Tanzanian, hakuna ulazima wa yeye kuside na wezi wetu..Chuki inatupeleka pabaya sana, mmefikia mahali mnataka kumuua Lissu?![]()
Kwa hiyo kupigwa risas siyo kutaka kumuua TL?,au una maana gani? kulipinga hiliNani anataka kumuua?
Au unapenda kuonana na mkemia mkuu ili akupime mkojo?
Nataka kuelewa akifa tuwafanye nini hawa watu. Usiogope toa maoni hapa!!Nikihesabu kwa Haraka hapo Naona matundu 19....
Hapo kwa kuwa picha yenyewe imefinywa....
Sijui Jumla zimemiminwa Bullets ngapi
View attachment 583432