Utasaidia upeleleziHuko huko hosptali ndio tamaliziwa vizuri...
but nahisi hii ni kiki ya CHADEMA baada ya kuona Magufuli kawafunik na issue ya report ya bunge
kwa hiyo unataka afe mkuu, naona vx jeusi likiwa na tundu 2 za risasi,Tukisikia imemchubua basi tutajua ni KIKI,
Tulipofikia Mungu pekee anajua sitaki kuamini kamwewChuki inatupeleka pabaya sana, mmefikia mahali mnataka kumuua Lissu?
anasaliti kivipi mkuu, labda utufafanulieAchaga mambo ya ajabu kwenye uhai wa mtu, siasa zipo tu ila zisikufanye umchukie,
Sent using Jamii Forums mobile app
I concur with you. Lisu na Chadema wametengeneza hii kitu.....Pole sana TL,lkn kwa kitu ninachokijua inawezekana kamanda Lissu akastage hii mambo au alichohaidi watu wa Acacia hajafanikisha
Tulipofikia Mungu pekee anajua sitaki kuamini kamwew