Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unabadili maana mkuu?haya mambo ya kutishia mtu kwa riasi ni mambo ya kizamani,maana atatibiwa atapona,
Kwani hujapata taarifa au unachagua ya kushare na sisi?Subiri ujue amepigwa wapi hiyo risasi pia.. na acha kusingizia mamlaka wakati unajua na yeye ni msaliti na labda tapeli kwa anaowasaidia kuiba mali za nchi yetu.. pesa kala na ugumu wa serikali unaendelea kuwanyoosha wanaompa bahasha kuvuruga..
Imeunganishwa haikufutwaNimeshangaa wamefuta thread yangu, na baadhi walianza kunitukana wakati ni kweli
Inatisha kwa kweliHii nchi mbona imekuwa hivi sasa hivi
aisee!!! kwenye hiyo gari nimeona kama two shots ple yakeTundu Lissu amemiminiwa risasi nyingi subiri mtasikia tu, jambo moja kuu ni kumuombea
Tumuombee Mungu jamani apone,nooooo bwanaaaaNchi imefika kubaya.
Umeona neno kusaliti apo mkuu?anasaliti kivipi mkuu, labda utufafanulie
Root unajua vitu vingi mkuu, tunakutana kwenye jukwaa la kumfilisi Kanji, lakini kwa hili unaonekana unajua mengi mkuuHawakua na nia ya kumuua
Wakitaka muonesha kuwa wanaweza muua
Hawakupendezwa na alichosema