Kiswambuswambu
Member
- Dec 31, 2016
- 13
- 9
Ndipo tulipofikia hapa!!Wakuu,
Inadaiwa Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA, rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) na Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, kwa sasa wapo hospitali ya Mkoa, mjini Dodoma.
![]()
![]()
Updates to follow