Simba wa teranga
Member
- Aug 5, 2017
- 37
- 23
Mungu amtangulie apone baba yetu lisuTundu Lissu unawindwa sana komrade
Watanzania tumuombee huyu mtanzania mwenzetu aliyetoa maisha yake kuupinga huu utawala wa kinyanyasaji
mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
Sent using Jamii Forums mobile app