Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,482
- 27,182
Hii sirikali ya hovyo sana imefeli kila kona inaua watetezi wanyonge
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulikuwa eneo la tukio?Kwa hizo risasi zilizo gonga hapo kupona ni 5% nyingine iliyo baki ni Muumba anaye jua.....
Instinct yangu inaniambia hivyo piaakili yangu inaniambia hii ni inside job chadema...
Kumbe ni shuhuda hebu sema ulichoonaKwa namna risasi nilizozishuhudia kupona ni 10 out of 100
Unaakiri sana!Akishakuwa maarufu kuliko yoyote ndani ya chama......nimemkumbuka chacha wangwe![emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya, sawa.Itabidi aende makamu mana mwenyekiti wako wa chama cha kijani muoga kwenda abroad kamuonea wivu lissu kwamba anafaidi