DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

Hotuba ya makinikia ya tanzanite na almasi ya mzee imeongelea habari za vifo vya kimafya. Ukiisikiliza between the lines utakubali hili. Kama ni utabiri basi mzee ni mtabiri mzuri.
 
Waliopewa bahasha kugawa na kutuibia miaka nenda rudi wanajulikana. 100% sio Lisu, sijasikia jina lake kwenye ripoti zenu zilizoandaliwa na maprof wabobezi na "wanaoaminika" zaidi ya maneno ya wapinga uzalendo wa kweli.

Subiri ujue amepigwa wapi hiyo risasi pia.. na acha kusingizia mamlaka wakati unajua na yeye ni msaliti na labda tapeli kwa anaowasaidia kuiba mali za nchi yetu.. pesa kala na ugumu wa serikali unaendelea kuwanyoosha wanaompa bahasha kuvuruga..



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mtu mmoja aliwahi sema kwenye mtandao waliomdhuru ben saa nane watapukutika mmoja baada ya mwingine labda ndo wanaanza kupukutika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wanaacha kupambana na hali zao wanapambana wa watu
 
T460CQV toyota premio: TRA central vehicle registry tupe jina la mmiliki haraka tuna kazi naye kama mumiani hawataki kumkamata!
 
Ha ha ha, naona unaanza kupanick. Nimekuomba unipe attention?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…