Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Hotuba ya makinikia ya tanzanite na almasi ya mzee imeongelea habari za vifo vya kimafya. Ukiisikiliza between the lines utakubali hili. Kama ni utabiri basi mzee ni mtabiri mzuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri ujue amepigwa wapi hiyo risasi pia.. na acha kusingizia mamlaka wakati unajua na yeye ni msaliti na labda tapeli kwa anaowasaidia kuiba mali za nchi yetu.. pesa kala na ugumu wa serikali unaendelea kuwanyoosha wanaompa bahasha kuvuruga..
Nikuombe tu uwaze nje ya sanduku. Funguka ndugu yangu hakika utaishi kwa amani.Ilianza Kwa Sheikh Ponda Polisi wamtaka Sheikh Ponda ajitokeze kusema nani alimpiga risasi Na wengi Tukaona ni Udini tu na wala si Tukio la Ajabu au Kuumiza Kichwa...
Kumbe Tumesahau Kuwa "MLAMBA ASALI HALAMBI MARA MOJA"... Sasahivi Yanakuja Mpaka Kwa Wanasiasa sasa...
Inaonesha Tanzania inataka Kuiga Mfumo wa Utawala Wa Kenya Kumuangamiza kila Wanaehisi ni Obstacle kwao..
Kwani situnaambiwa Rwanda ni ndugu zetu au?Tumekua Rwanda.... Dah inasikitisha kwa kweli.
Hilo dogo mbona.
Sijawahi kufurahia hata kifo cha mbwa. Siku moja nikiwa naendesha Gari niligonga mbwa kwa bahati mbaya, siku 3 sikugusa Gari.Mbona una hasira sana wewe?
......
Wakuu,
Inadaiwa Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA, rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) na Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu, ajeruhiwa kwa risasi.
Kwa sasa wapo hospitali ya Mkoa, mjini Dodoma.
Ameshambuliwa kwa risasi wakati akishuka nyumbani kwake Area D Mjini Dodoma, alikuwa akitokea Bungeni na alienda Nyumbani kula chakula cha mchana.
Lissu amepigwa risasi 5, miguuni na tumboni.
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema hali ya Mbunge huyo aliye hospitalini sasa ni mbaya!
![]()
![]()
![]()
Updates to follow
=======
UPDATES;
=======
TAARIFA YA AWALI KUHUSU SHAMBULIO LA KUPIGWA RISASI MHE. TUNDU LISSU
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepokea kwa mshtuko mkubwa taarifa ya kupigwa risasi Mwanasheria Mkuu wa Chama ambaye pia ni Mnadhimu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni na Mbunge wa Singida Mashariki, Mhe. Tundu Antipus Lissu baada ya kikao cha Bunge mchana wa leo.
Shambulio hilo limetokea majira ya mchana nyumbani kwake Area D Dodoma na kujeruhiwa vibaya na kukimbizwa katika Hosiptali ya Mkoa wa Dodoma.
CHADEMA tunalaani vikali kitendo hicho, na tunafuatilia kwa karibu hali yake.
Taarifa zaidi zitaendelea kutolewa.
Imetolewa na Kurugenzi ya Uenezi, Mawasiliano na Mahusiano ya Nje.
CHADEMA MAKAO MAKUU
DAR ES SALAAM.
=====
Preliminary Press Statement on the incidence of Hon. Tundu Lissu being shot
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) has received with great shock the report on the shooting of the Attorney General of the Party who is also the Chief Whip of the Official Opposition in Parliament and MP of Singida East, Hon. Tundu Antipus Lissu just after a Parliamentary session today.
The attack took place at his Dodoma residence at midday and was seriously wounded and had been rushed to the Dodoma Regional Hospital.
CHADEMA strongly condemns this act, and we are following up closely on his condition.
We will continue to update as we get more information.
Issued by the Directorate of Ideology, Publicity, Communications and Foreign Relations.
Ha ha ha, naona unaanza kupanick. Nimekuomba unipe attention?Kama huelewi achana nami sasa. Unanifuata fuata kwa ajli ya nini? Mimi sijakusemesha wala kuku kwoti, ila naona tu unarukia bila mwanzo na wala bila muunganiko na mada ili mradi unaropoka!. Nini?
Kumbe wewe unaingia kuropoka bila hata kujua nini kinaongelewa halafu unataka tukupe attention?
Chapa mwendo tu kwa kuwa mimi sina shauri na wewe.