Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,135
- 48,827
Mwanasheria Mkuu wa Chadema Tundu Lissu ameruhusiwa kutoka chumba cha upasuaji akiwa na fahamu na sasa anapelekwa Nairobi nchini Kenya kwa matibabu zaidi.
Ameshafikishwa Dsm.bado hajaondoka hapo Dodoma?
Siku ukitwangwa risasi au mama yako ndo utajua nini maana ya Kiki.Anatafuta kiki tu huyo
Anafikiri ndo namna ya kuzima nyota ya Magu
Mungu ni mwemaAmeshafikishwa Dsm.
ACHA nikae KIMYA...!
Serikali inayojua sheria inayovunja mikataba ovyoovyo hatimae tunaliposhwa mabilionBahati mbaya sheria sijui .... Ila nachopenda ujue ,,hakuna serikali jinga ambayo inaweza bomoa nyumba za watu wake kimakosa .
Watanzania mlizoea serikali za kutofuata sheria ,,saivi zserikali inafuata sheria mnaumua sana......wametoa wafanyakazi wa lasaba mkalalama sanaaa ,,kumbe sheria ilikuwepo tayari..
Magufuli usiachie uliposhika ...hiv hivi mpaka 2025.
Mkuu nimepoteza ujasiri kwa sasa,sijui lipi la kusema,Tuombe MUNGU amponye
Ndiyo wafuatiliaji aliowaripoti kwa IGP mapema!! wanaelewa wauaji haswa!! Tunawahitaji. Kwa watu wenye mapenzi mema mlio TRA central registry tupeni jina la mmiliki chonde chonde.Hizp namba ni za gari ya hao walipiga risasi au sijaelewa?
Aluta continua, viva lissu viva....Well, I don't know what will happen now. We've got some difficult days ahead. But it really doesn't matter with me now, because I've been to the mountaintop.
And I don't mind.
Like anybody, I would like to live a long life. Longevity has its place. But I'm not concerned about that now. I just want to do God's will. And He's allowed me to go up to the mountain. And I've looked over. And I've seen the Promised Land. I may not get there with you. But I want you to know tonight, that we, as a people, will get to the promised land! Dr. Martin Luther King Jr
mkuu comment namna hiyo sio za kujibuna wale masheikh waliofungwa na kuteswa walimfanyia nani ugaidi ???