Galapagosi
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 2,848
- 2,637
Tunaomba Mungu apate kupona Mh Lissu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naamini aliyefanya hivi bado yuko viunga Dodoma na polisi watafanya kazi yao haraka ...Kweli nchi isiingie ktk sintofahamu
Sent using Jamii Forums mobile app
Amina....machoz yangu yako karibu sana hapa nilipo... bwana Yesu atende....na atatenda.... TL atapona.... Amina....Sijakujazia wewe bali Mungu wangu aliye juu aonaye kila nafsi iliyo njema na ovu, hakika atatenda nina imani naye kubwa sana atatenda.
Kila wakati! Mungu asaidie Kwa hiliMungu ni mwema
Sasa unajua sijui sheria ,,lkn naamin sheria IPO wazi ,kosa nalimethibitika unafungwa ,,kosa halijasthibitika unaachiwa huru.TULIWAONA MAHAKAMANI NA WALISEMA WENYEWE NA SERIKALI HAIJAKANUSHA KWA USHAHIDI
ooooh! hallelujah!!Mwanasheria Mkuu wa Chadema Tundu Lissu ameruhusiwa kutoka chumba cha upasuaji akiwa na fahamu na sasa anapelekwa Nairobi nchini Kenya kwa matibabu zaidi.
SAFI, APELEKWE KWA WASHUA, KUOKOA MAISHA YAKE.Mwanasheria Mkuu wa Chadema Tundu Lissu ameruhusiwa kutoka chumba cha upasuaji akiwa na fahamu na sasa anapelekwa Nairobi nchini Kenya kwa matibabu zaidi.
angalia ubavuni mwa gari upande wa abiria utealewa ile ni mashine kubwaMheshimiwa Mbowe kajuaje kama silaha iliyotumika ni SMG?