ila kuna watu wana mungu wao aisee matundu ya risasi hapo kwenye gari yapo kama 20 hivi mweeeeee!! mwe! mwe!! kweli mungu si maulidi na walio shiriki kutenda thambi hii mungu waumbue kwa wakati wako tena waanike peupeeeee,We can not accept this at all.Mungu mpiganie Lissu apone. We need him.Nilikuwaga nasikia tu Mobutu alivyokuwa anauwa wapinzani. Now it is happening in my country Tanzania. Wapi amani?Tanzania stand up.
Selasini amesema, “Risasi zilimpata mguuni, mkononi na tumboni lakini daktari anasema anaendelea vizuri."
brain ndogo siku zote zitakuwa na mawazo kama haya, ndo maana ukombozi utachelewa sana na umaskini vimepiga kambi kwenye maisha ya watanzania wengi, kijana kama huyu unaweza kuelewa udogo wa akili yake kwa fikra kama hizi, hajui wakikosa watu wa kupaza sauti ni nini kinatokea, hajui kwanini swala la uhuru wa mawazo lilipitishwa na kusainiwa, hajui ni kwamba kuna aina za watu ambao hata ufanyeje huwezi kuwanyamazisha, hajui faida za watu kama Lisu (wellinformed) hajui anataka nini ili awe na maendeleo, anajiangalia alipo na ndugu kidogo labda basi anahisi hayo ndo maisha, tuna mijitu ya ajabu, mijinga, mipumbavu, mijitu ya hovyo kuliko choo cha sebuleni, TUTASUBIRI SANAAkipona hapo itabidi ajifunze kuutumia mdomo wake vizuri.
hongera kwa kumaliza mitihani yako ya darasa la saba karibu Jf ila huku umepitia store
Talk to his God tooDont die lissu please.[emoji24] [emoji24]
sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
Wewe na jamaa yako kilaza natamani ni wacharaze viboko at least akili zianze kufanya kazi sawa sawa maana mnaandika upuuzi tu.Jamaa usanii mwingi haaminiki tena
Ngoja nikafute yangu
UNATAKA WATU WAFUNGIWE .IMBECILE.CHEZEA MWENYEKITI WEWE YA CHACHA WANGWE YANATAKA KUJIRUDIA
Bado giza mpwa.On arrival atakuwa transit usiniulize wapi all the best jirani yangu
Mkuu Muhimbili itakuwa umewarahisihia. Hukawii kusikia wodi aliyokuwa amelazwa ilikuwa na hitilafu za umeme uliozua mlipukotumeambiwa muhimbili mara hii ghafla anapelekwa nairobi tena...anyway tunamuombea ahueni naimani Mungu ataeka mkono wake