DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

Huko Nairobi napo sio pahala salama sana. Wafanye mchakato wampeleke Ulaya au Marekani kwa maana maadui zake bado wanamuwinda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuuh ndio kusema tunashindwa kubishana kwa HOJA hadi kufikia huku, aseeeee..... hapana hii mbaya sana kwa ustawi wa nchi yetu...
 
Kaharibu kabisa hapo mwisho na uzi wake unanuka
 
Ukute Walitaka kumuua ili asihudhurie Mkutano uko Marekani....Endeleeni kumuombea mie bora nimuombee Bata
Tumuombee lissu wetu mkuu, yaani bora alikaa kwenye gari hakushuka, angeshuka ingekuwa mengine sasa hivi. Mungu ni mkubwa namuombea kheri jamani, baba J mungu akulaani, mnawateswa watanzania wenzetu, mnawauwa, mnawasingizia kesi, mnawatishia, mnawajerui! Mungu anawaona
 
Kuweni na moyo mkuu makamanda wote wa CHADEMA na wapenzi wote wa Chama na watanzania wote wapenda Amani...tumevumilia sana, tumenyanyaswa sana! Tumeuawa sana...lakini tumeendelea kuwa wapole zaidi ya kondoo ili amani itawale
 
Mimi ni mtanzania mzalendo sina chama ninampenda mtanzania yeyote yule bila kujali ni chama gani, dini gani, kabila gani, rangi gani, sehemu gani aliyotoka n.k.
Kwa suala hili la ndugu yetu kipenzi chetu Tundu Lisu kupigwa risasi wengi wetu wameshapeleka mawazo upande mmoja fulani hivi...... lakini kumbuku Rais wetu mpendwa ni mtu mwenye nia ya maendeleo mimi kama mzalendo mwingine yeyote nampongeza rais mpendwa kwa sababu kazi anayoifanya ya kula pande mbili ndani ya chama chake na upande wa pili pia, kila mzalendo tanzania mwenye uchungu na nchi hii lazima asifu kazi za rais mpendwa wa watanzania ndg Magufuli. Lakini kumbukeni rais ni kama binadamu mwingine awaye yote na amepania kufanya kazi ile kwa nguvu zote, kwa hiyo kwa ninavyomwelewa anataka afanye kazi bila kelele nyingi, au kama ukiona kosa sehemu basi kama mtu maarufu unaweza kumuarifu kuwa kuna kosa mahali badala ya kuongelea hadharani ili alifuatilie, najua kwa yale mambo anayoyafanya ya kuzuia siasa si kikatiba lakini vilevile sis wananchi hatutaki siasa majukwaani bali tunataka tuone matendo na bila shaka nitamuunga Rais Mkono kwa hili la kutaka kufanya kazi zaidi kuliko siasa za majukwaani.

Pili, kwa mwazo yangu kuna coicedence hapa, jinsi rais anafanya kazi ya kupamban na wanyonyaji wa uchumi wetu, wana mipango mingi sana ya kuharibu ile mipango ya rais wetu, mfano haya makinikia ya almasi kuna mabepari walikuwa wanavuna kama wako kwao vile sasa hii nguvu ya rais wanataka kuhamisha na kufuta la makinikia ili tuanzishe habari nyingine za misiba na tusahau mambo ya wizi mkubwa kwenye madini yetu, maana wanajua wakimuua mtu popular ana critical kama Mwanasharia mzalendo Tundu lisu ambaye kwa sasa habari ya mjini ni Lisu, baada ya zile Buldozer wetu na Rais wetu Magu.

Sasa basi tuwe na uvumilivu yawezeka ni watu tu wana nia ya kuhamisha hili suala la makinikia na kuanza habari za msiba ili tusahau. tushirikiane na serikali yetu tumpate huyo adui anayetaka kuifanya hii ndege yete "TANZANIA" isitakeoff yaani isianze kupaa.

Ndugu zangu niwaeleze kitu kimoja mliomo humu hakuna wazungu, au mtu kutoka nje ya tanzania anayetaka watanzania tuendelee kwa hiyo lazima tuwe wamoja katika hili, tushirikiane na serikali mpaka hao watu wapatikane.

maana kubwa ya kuandika hili ni kuwa kwa sababu tu ndug yetu tundu lisu amesumbuana na serikali basi wengine wanaweza kutumia hi nafasi kufanya uhalifu wao na wananchi wakaamini yule aliyekuwa anamsumbua ndiye aliye muua tuwe macho sana.

Nawapenda watanzania wote hayo ni mawazo yangu, tujenge nchi tuwe wazalendo badala ya kuwa washabiki

aksanteni
 
Kuna wakati ndio maana mnaambiwa mnapinga kila kitu. Sasa mtu akichukulia kiubinadamu kuungana unamuita mnafki akikazania kile anachokiamini unasema hana ubinadamu ni nini sasa!! Embu siasa hizi tusizipe kipaumbele tufanye pale zinapohitajika tuu.

Kwa hiyo hapa napinga nini sasa? Kwani sio mnafiki sasa? Jana unamuita mnafiki, leo unamuita hero what are you? Why jana hukumuita Hero au leo usiendelee kumtakia afya njema mropokaji?
Nchi ni yetu sote, siku moja mtawala atakuwa mpinzani, naombea tu asijekuwa kama wa sasa.
 
Kauli za chuki na za kichochezi majukwaani kila kukicha!

CD ya 'Uzalendo' nayo ni kama 'FATWA' flani hivi... kazi ipo kweli kweli!!!!!!
 
Reactions: SDG
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…