DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali


Lissu nae si alijui hilo why hakumwambia tupotilize?!!!
 
Ningekushauri kukaa kimya nakuacha serikali ifanye uchunguzi..
Sio vizuri kuhisi kuwa na uhakika.
 
Maswali mengi yanahitaji majibu.
 
Hivi familia yake haiwezi kusimamia matibabu yote bila kuhusisha watu toka Bunge na Serikali?

Nani anasauti ya mwisho juu ya matibu ya Lissu ni Familia yake, Bunge, Chama chake au Serikali?
 
Mahakama msimwachie huyo eti kwa sababu mgonjwa. Siku ya kesi yake ni lazima aitwe tu, kama Manji na Seth.
Ni vizuri kuwa na busara katika mambo kama haya, hujui kesho litakupata lipi ama nduguyo wa karibu atafikwa na jambo gani baya. Usifurahie kuanguka kwa adui yako, Mungu ameweka sheria ambazo zinahukumu maisha yetu ni complicated kutambulika. Kwa hiyo jitafakari ndugu
 
Kwakweli huyu Tundu Lissu anapendwa!

Huyu mtu huwa anawasemea wengi sana hata wa ccm

Mungu na amponye haraka!
 
Kufuatia kitendo cha tindu lisu kupigwa risasi, ni wakati muafaka wa upinzani kujiondoa ubunge na kuanza uanaharakati wa na kuacha ccm pekee waongoze nchi kama wanavyotaka, damu ya lisu iwe chachu ya kudai upya uhuru wa tanzania tulionyang'anywa tangu oktober 2015 na minyang'ao. Watanzania tupaze Saudi zetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…