DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

Duu. Pole sana TL, Hii ni habari mbaya kwa nchi yetu, Hao watafutwe. Tunakuombea kwa MUNGU upone mapema na urejee katika majukumu yako.
 
So suka angekanyaga mafuta kwenda wapi kwa mfano?
Arudi rivas to Bungeni?Akanyage mafuta kwenda home au aanza kuzunguka nao wakora?

May Allah bless Me and You
Hebu rudia kusoma hio comment huenda ulikuwa unasoma ukiwa na kimuhemuhe

Point :' iweje dereva muda wote kagundua na kaona suspicious movement kuwa bosi wake anafuatiliwa kwa nyuma kisha bila hiana kaelekea nyumbani
 
...na kweli nyama za watu alizosema mwalimu zinaliwa kweli kweli sasa... Na mbaya zaidi wale wanaokemea ndio wahanga wakuu sasa...

 

Unawaza kama mimi kiasi japo ningeenda mbele zaidi udiwani na uenyekiti
 
Nikifikiria kauli za JPM sidhani kama ni mcha Mungu, Kumcha Mungu ni kupenda haki na kuchukia maovu na siyo kukimbilia kila kanisa.
 
Helicopter?? Dar to Nairobi?? Duh! Dom to Nairobi au??
 
Najaribu kufikiria, hivi Tundu Lissu alitaka kutolewa roho na serikali? Au watu wasioipenda serikali wameamua kumharibia Mhe. Rais hasahasa siku ya leo wakati anapewa report ya uchunguzi wa Almasi na Tanzanite?

Nafikiria kama ni kazi ya serikali, basi aliyetumwa ni bwege na hajui timing; maana ingawa tukio la jaribio la kuuwawa Tundu Lissu limetokea baada ya kupokea kwa report, thread ya Lissu kutaka kuuwawa imeshakuwa kubwa mara mbili zaidi ya hii ya Mhe. Rais.

Lakini kama waliopanga jambo hili ni wale jamaa wa madini, basi kweli wamebobea kwenye conspiracy.

Uhusika wa serikali hautatiliwa shaka, pale tu mtuhumiwa atakaposhikwa haraka.

Lakini kama serikali imehusika, sidhani kama hii inasaidia zaidi ya kuleta chuki. Kuna watu wasiokuwa sahihi watakuwa kwenye nafasi za uteuzi. Hapo Magufuli itabidi azipitie upya taasisi zake.
 
Hebu rudia kusoma hio comment huenda ulikuwa unasoma ukiwa na kimuhemuhe

Point :' iweje dereva muda wote kagundua na kaona suspicious movement kuwa bosi wake anafuatiliwa kwa nyuma kisha bila hiana kaelekea nyumbani

They nare used to it uje, kufuatiliwa kwao ni kila siku, namaini hakuna alieyetegemea mchana kweupe hivyo risasi zitapigwa.
 
Kuna Mengi ya kutafakari

1) Goverment kutisha watu na kuwanyamazisha

2) Wawekezaji wa Madini kupata chanzo cha kuiminya Serikal na kuanza kuiwekea Vikwazo kwa kukiuka haki za Watu ( Mmoja wa Wataalam wao wa Mazungumzo ndio kazi zake na ni Mjeshi Mstaafu wa Nato)

3) Watu ndani ya Chama cha Serikal kumchanganya Rais baada ya kuona 'anawafata fata'
4) Chama chake ili kujenga Mazingira kuwa ni Serikal bila ya Yeye mhusika kujua
5) Magaidi wa Kibiti kuleta tension kwny Nchi ili wapate fursa ya kuanza Tena hujuma

Yote hayo si lazima hata Moja iwe kweli ni hisia zangu tu zisizo na Utaalam wa kijasusi wala kipelelezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…