Mkambarani
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 287
- 251
Tairi ya mbele haina upepo inaonekana nayo ilipatwa na risasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamuuliza nani hilo swali?unataka kumuua lissu ili iweje ana ndugu,familia,jamaa,marafiki wanaomtegemea,kwann tusibishane kwa hoja haya mambo ya kuuana yashapitwa na wakati bna tubadilike.
\
NIMECHEKA
Bad News get well soon Tundu Lissu a true hero Of our country
Sasa ulitaka polisi wafanyeje kwa mtu anaewatukana kila siku, wengine mpaka mnafanya sherehe mkisia polisi kauawaNi juzi tu kuna jamaa alijitapa na kujitutumua kumuua kamanda lisu ila police wakawa kimya lakini sasa in wazi kuwa lisu anawindwa kama alivyo sema mwenyewe
Ila tuwe wakweli,lolote la kumkuta lisu litatughalimu
...duu, sasa nayakumbuka na kuyaamini maneno ya Kingunge Ngombare Mwiru....Serikali hii sijui inatupeleka wapi.
Huu utakuwa ni mwanzo wa vita.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unachokijua? Au unataka kuwaondoa watu macho yao kwenye wahusika wenyewe? Au ni wale waliopiga bomu ofisi za wanasheria wa IMMA?Pole sana TL,lkn kwa kitu ninachokijua inawezekana kamanda Lissu akastage hii mambo au alichohaidi watu wa Acacia hajafanikisha
Sasa ulitaka polisi wafanyeje kwa mtu anaewatukana kila siku, wengine mpaka mnafanya sherehe mkisia polisi kauawaNi juzi tu kuna jamaa alijitapa na kujitutumua kumuua kamanda lisu ila police wakawa kimya lakini sasa in wazi kuwa lisu anawindwa kama alivyo sema mwenyewe
Ila tuwe wakweli,lolote la kumkuta lisu litatughalimu
Hili nalo nenoPole sana TL,lkn kwa kitu ninachokijua inawezekana kamanda Lissu akastage hii mambo au alichohaidi watu wa Acacia hajafanikisha
Akina nani hao ndugu? kama unawajua wasaidie polisi banaWanataka kumuua Lissu?