Sad news; Ila Mungu wetu ni mwema na mwenye haki: atampatia uponyaji Wa haraka
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ni uzushi wa lumumbaYawezekana ni
1. Wazee wa makemikia
2. Ugomvi wa madaraka ndani ya chama
3.Ugomvi wa madaraka ndani ya TLS
4. Wamedhurumiana na ACACCIA kwenye
5. Ugomvi wa mahusiano
6. Wapiga kura wake wana hasira na kushindwa kutekeleza ahadi
7. Kutafuta kiki na support za kimataifa
8. Mabepari wamempiga ili kuchochea vurugu
9......
Kwamba mnajifanya hamjui sioLissu alisema kuna gari Huwa inamfuatilia sijui kama polisi walifanyia kazi hilo
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi hapo nyie wanyama mtaanza kumlaumu rais Magufuli bila hata ushahidi wowote ule.