DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

Akizungumza na kituo cha ITV Mwenyekiti wa CHADEMA Freeaman Mbowe amesema Mbowe "Hali ya Tundu Lisu ni mbaya Sana, na msishangae mkasikia lolote kuanzia sasa"
c457fb7c2bb6ffa2a7b61994cee56dfa.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii taarifa iko jukwaani muda mrefu sana

Amini usiamini, ukihitimu shule ndio utaanza masomo.
 
jamani mungu akuponye Tundu lisu, akunusuru,watanzania tupo nyuma yako sana. Waliofanya kitendo hiki jamani mungu Kashugulike nao, Amewakosea nn sana? kwa nn? Ivi kweli kutaka kutoa uhai wa mwanadamu mwenzio kweli? mungu katende sawasawa na mapenzi yako
 
Ndicho wanachiweza kufanya, wanateka na kuua watu. Sababu hakuna, Iko siku tu itatimia. Mungu hadhihakiwi na majambazi haya, yatapukutika hata pamya hatabaki kwa usemi wa Zitto Kabwe.

Kinachokuuma ni kitu gani mpaka ukimbilie kutoa uhai wa binadamu mwenzako? Nchi hii sio salama na hatuwezi kuvumilia haya ni bora tufe wote kwani hakuna atakayebaki milele duniani.
 
Get well soon brother Lissu.Mungu wetu ni mwema sana.Kama ukienda kazi aliyokuleta duniani kwayo umeitimiza brother.If you survive...you have unfinished business with this country
..
 
Yawezekana ni
1. Wazee wa makemikia
2. Ugomvi wa madaraka ndani ya chama
3.Ugomvi wa madaraka ndani ya TLS
4. Wamedhurumiana na ACACCIA kwenye
5. Ugomvi wa mahusiano
6. Wapiga kura wake wana hasira na kushindwa kutekeleza ahadi
7. Kutafuta kiki na support za kimataifa
8. Mabepari wamempiga ili kuchochea vurugu
9......
Huu ni uzushi wa lumumba
 
Naamini mungu yupo upande wa watanzania wengi lissu atapona kwa idhini ya Allah lakini kwa hili sijui Tanzania inatakiwa ifikie hatua gani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
anadhani kwa kumuua Lissu yeye atabaki salama.anajidanganya

bunge la tanzania ni "rubber stamp" ya serikali ya magufuli
 
Tunaenda kasi na roho mbaya ya kuuwana na kutekana...very sad

Nothing to fear than fear itself
 
Get well soon Tundu Lissu, tunakusubiri ukaendeleze mapambano na Wezi wa nchi hii; inasikitisha sana kwa kweli; mahaamani hawakuwezi wanatafuta njia ya mkato; Watanzania tunakuombea upone haraka. In Jesus name .... Amen.
 
Back
Top Bottom