Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli mama naona wabunge kwa wingi hapa general Hosp.in taharuki kwa kwelHapana jamani Mungu naomba isiwe kweli jamani sitaki kuamini
Sky Eclat naomba mpuuzie tu huyuKwani hujapata taarifa au unachagua ya kushare na sisi?
shabiakia mauaji ya binadamu mwenzio maana kesho ya kwako huijui kabisa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Subiri ujue amepigwa wapi hiyo risasi pia.. na acha kusingizia mamlaka wakati unajua na yeye ni msaliti na labda tapeli kwa anaowasaidia kuiba mali za nchi yetu.. pesa kala na ugumu wa serikali unaendelea kuwanyoosha wanaompa bahasha kuvuruga..