Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,135
- 48,827
Ndiyo narindwa km ww ulivyorindwa toka majuzi ulipokuwa unasherehekea vifo vya wanaCuf lipumba
Jifunze kuandika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo narindwa km ww ulivyorindwa toka majuzi ulipokuwa unasherehekea vifo vya wanaCuf lipumba
Kuwa na staha ya maneno kwa hili,Wanaccm hao. CCM wabaya sana baada ya kushindwa kila kona wameamua kuchukua bunduki.
Mungu amfanyie wepesi
Ni kweli kabisa naunga mkono!Mkuu Dr Magufuli hii inakuharibia kazi nzuri unayofanya. wewe chapa kazi. sasa haya malumbano na Lissu yalikofikia kila mtu atakunyoshea kidole hata kama si wewe Dr
GET WELL SOON TL!Our fellow MP for
Singida East Tundu
Lissu has been shot by
unknown people. He
has been rushed to
dodoma general
hospital~~~Zitto Kabwe
Haijalishi!Ninyi mnaona raha tu kushangilia vifo vya wanaCufMnapenda kuombea wenzenu Kifo!! Mungu siyo mtu, waweza tangulia wewe na unayetaka afe, akaja kukuzika.
Nalindwa na sio narindwa.Ndiyo narindwa km ww ulivyorindwa toka majuzi ulipokuwa unasherehekea vifo vya wanaCuf lipumba