Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Jamani tujuzeni hali yakr
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu walinsema mtu fulani kuwa ni mgonjwa, mara ikulu siyo wodini, mara sijui hafiki siku fulani... KILICHOTOKEA WAMETANGULUA WAO... MUNGU HADHIAKIWIMnapenda kuombea wenzenu Kifo!! Mungu siyo mtu, waweza tangulia wewe na unayetaka afe, akaja kukuzika.
Kila siku lilaaniwe tumechoka bana hatua ichukuliwe hata kwa upanga,hivi vitu vitakoma liniKwasababu yoyote ile shambulizi hilo budi lilaaniwe na watu wote wapenda amani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikihesabu kwa Haraka hapo Naona matundu 19....
Hapo kwa kuwa picha yenyewe imefinywa....
Sijui Jumla zimemiminwa Bullets ngapi
View attachment 583432
**** sentensesHakuna anaeujua ukweli kati yetu so lawama wasipewe serikali, kumbuka pia Lissu ni wakili vipi upande wa aliowashinda kesi, Pia Lissu kajiimarisha vizuri ndani ya Chadema so huenda kuna watu ndani ya chama wanaohofia kasi yake.
Mambo haya tuviachie vyombo vya usalama vifanye kazi yake ya uchunguzi wa hili tukio la kinyama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wasio julikana ndio akina nani hao etiMtujuze kama ni polisi au watu wasiojulikana wamefanya mambo
mungMod naona mnatoa uzi mnawaogopa wanao uwezo wa kuuwa mwili? Ogopa anayeuwa roho.
Naomba tujadili hapa malengo maana hao wauwaji tunaoishi nao au waliowatuma kufanya kazi hiyo.
Kuna siri gani aliyo nayo Lissu hadi kwa kumuuwa ili kuficha maovu yao?
Hata siku moja Lissu sijawai kusikia akigombana na mtu binafsi zaidi ya serikali tena kwa hoja na sio kingine.
Sasa lengo ni kumuuwa sio kingine je kuna siri gani wasiopenda isikike?
Bunduki iliyotumika ni wazi sio bastola ni bunduki yenye uwezo wa kupiga risasi nyingi kwa wakati mmoja (MG) kama smg. Nani anayemiliki na apige na apotee mchana kweupe
Endapo atafariki dunia, italeta shida kubwa kwa serikali kuaminika tena kwa wananchi.
Hali itakuwa mbaya[/QUOTE
Mungu ampone Tundu Lissu.
Tuondolee ufisadi wako hapa.I really love Lissu, I love his integrity, lakini nilishangazwa sana na anavyoponda jitihada za kuwazuia waizi wanaotuibia madini.. Hata kama serikali ilikuwa inakosea njia waliyokuwa wanaitumia, he is a Tanzanian, hakuna ulazima wa yeye kuside na wezi wetu..
I'm really sad for Lissu, lakini pia ajue chama alichopo si cha upinzani.. I wish I could speak the truth lakini siwezi, CDM si chama cha Upinzani. Let me end there...
Sent using Jamii Forums mobile app
tumlaani shetani hili lisitokee,apone soon...Endapo atafariki dunia, italeta shida kubwa kwa serikali kuaminika tena kwa wananchi.
Hali itakuwa mbaya
Ndo hawa hawa waliompiga risasiAISEE.... kama mna roho mbaya kiasi hiki, basi kweli bora twende Zimbabwe