eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,379
Nafikiri kwa hili uvumilivu sasa basi tutaanza kupigana risasi muda si mrefu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hashauriki wala haambiwi kitu huyu mumiani ngoja afe tuone time will tell------
Unataka wenzio wasubir kutoa shutuma wakati ww tayar ushafanya hivyo.Subiri ujue amepigwa wapi hiyo risasi pia.. na acha kusingizia mamlaka wakati unajua na yeye ni msaliti na labda tapeli kwa anaowasaidia kuiba mali za nchi yetu.. pesa kala na ugumu wa serikali unaendelea kuwanyoosha wanaompa bahasha kuvuruga..
.....I su
I concur with you. Lisu na Chadema wametengeneza hii kitu.....
usalama hawawezi kuuwa kijinga hivyo....
hata wakiwa police watakuwa watu wasio julikanaMtujuze kama ni polisi au watu wasiojulikana wamefanya mambo
hata wakiwa police watakuwa watu wasio julikanaMtujuze kama ni polisi au watu wasiojulikana wamefanya mambo
Duh!akili yangu inaniambia hii ni inside job chadema...
Wale wale!!!!Hakuna anaeujua ukweli kati yetu so lawama wasipewe serikali, kumbuka pia Lissu ni wakili vipi upande wa aliowashinda kesi, Pia Lissu kajiimarisha vizuri ndani ya Chadema so huenda kuna watu ndani ya chama wanaohofia kasi yake.
Mambo haya tuviachie vyombo vya usalama vifanye kazi yake ya uchunguzi wa hili tukio la kinyama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena ya kijinga sana aisee.
Unadhani ni nani kama sio wao?Basi hapo nyie wanyama mtaanza kumlaumu rais Magufuli bila hata ushahidi wowote ule.