DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

Kiukweli mimi sijakuelewa hata umeandika nini, ila nikusahihishe tu hiyo report ni ya kamati ya Bunge,anachokifanya Rais hakuna anekipinga sote tunajua jinsi hii nchi ilivyotafunwa, tumuombee mwenzetu apate afya njema.

ila ningeshauri ukae kimya tuache vyombo vya usalama vifanye kazi kubaini nini hasa kimetokea.
Hapo mwisho nimekuelewa mkuu

Tatizo kuna watu wanahukumu moja kwa moja
 
Nimeongea na Dodoma Regional Referral hospital muda si mrefu ndiyo ameingizwa chumba cha upasuaji kwa Huduma za zaidi kuokoa maisha tusubiri yatakayojiri ila team ya madaktari na nurses na wengine wako busy kuhakikisha wanaokoa maisha ya Tundu Lissu.

Maombi yenu muhimu wana JF.
Hii taarifa yako ni njema sana.. Tunazidi kumwombea yeye, madaktari na manesi ili Mungu awaongoze katika kazi zao
 
Sasa hivivitu vinaonesha anayoyasema nikweli ndio maana anapata masaibu hayaa mungu muoneehuruma nautunee huruma sisi mponyeshe tundu lisu hakuna sababu ya kuuwana kesho waweza kusikia yuko chama kingine na akawa msaada vilevile
 
Aibu kubwa sana hii kwa nini umuue kama upo kwenye mstari sahihi?
Inawezekana ikawa watu wapo katika mstari sahihi usio sahihi huku wakijiaminisha na kutaka kuaminisha wengine kuwa huo ndio mstari sahihi ilhali umepinda.
Majibu ya hoja yanapokosekana mambo mawili hujitokeza:
1. Matusi
2. Mabavu
 
Sikuelewi sijui unafanya nini.

Unachotaka kusema ni nini hasa? Kwa hiyo walipofariki BAVICHA ndioy waliwaua au Unataka nini? Mimi sikuelewi na sijui nani kamrudi nani.

Unataka nini hasa?
Unafikiri na mimi ninakuelewa?
 
Matatizo ya kawaida yanayoweza mtu kushambuliwa ni majambazi ya gari au waliodhulumiwa na yule mwanasheria wa mikataba na kuchukizwa na kauli za mtetezi wake, au adui zake wa kazi au mapenzi au kitaifa na mashabiki wanaochukizwa na kauli zake au wabaya wake wa kisiasa ndani ya chama chake na nje ya chama chake
 
Nimehesabu ziko 18
7014c4082a938291376e4c85498a69d6.jpg
 
7e0bb09c37d877a03157eb3d498e9e25.jpg




fa773094cdcd61f180db334e543e2a4f.jpg





Siasa zaBongo ndo zimefikia hapa [emoji31][emoji31][emoji31]


Tukutane 2020.................
 
Back
Top Bottom