Mwandwanga
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,059
- 1,572
Ukitazama kwa makini hizo tundu za risasi kwa wanaozifahamu silaha watakuambia hiyo silaha siyo ndogo, ni silaha mahsusi kwa kazi hiyo.
Tundu za risasi zafanana na zile za .338 Lapua Magnum ambazo ukizitumia kwenye L39A1, The ugly Mauser SP66 ama zile za British Army ambazo wao huziita Sniper Rifle L96A1 aka PM (Post Mortem) basi binafsi nachelea kusema hao jamaa wamechemka kwenye jambo walilokuwa wamedhamiria kufanya dhidi ya TL.
Kama wametumwa basi leo haiishi lazima waionje 6*6, ila kama wamejituma nachelea kusema ni WAZEMBE MNO.
Tundu za risasi zafanana na zile za .338 Lapua Magnum ambazo ukizitumia kwenye L39A1, The ugly Mauser SP66 ama zile za British Army ambazo wao huziita Sniper Rifle L96A1 aka PM (Post Mortem) basi binafsi nachelea kusema hao jamaa wamechemka kwenye jambo walilokuwa wamedhamiria kufanya dhidi ya TL.
Kama wametumwa basi leo haiishi lazima waionje 6*6, ila kama wamejituma nachelea kusema ni WAZEMBE MNO.